CHADEMA, acheni kulia lia. Chukueni hatua kali dhidi ya dhuluma

CHADEMA, acheni kulia lia. Chukueni hatua kali dhidi ya dhuluma

Hiyo iliisha fail, watafute njia mbadala, au teseme labda wameamua KULIALIA ndio njia mbadala kwao.
Watanzania waliisha ikubali CHADEMA
"Ilisha 'fail'", ipi hiyo!
Inawezekana hunielewi ninacho lenga mimi.

"WaTanzania walisha ikubali CHADEMA"?
Kwa maoni yangu hali tuliyo nayo sasa hivi chini ya CCM, waTanzania hawana 'luxury' tena ya "kuikubali" au kuto ikubali CHADEMA!
Lililo muhimu ni kuondokana na hili zimwi linalotumaliza sote.
 
"Ilisha 'fail'", ipi hiyo!
Inawezekana hunielewi ninacho lenga mimi.

"WaTanzania walisha ikubali CHADEMA"?
Kwa maoni yangu hali tuliyo nayo sasa hivi chini ya CCM, waTanzania hawana 'luxury' tena ya "kuikubali" au kuto ikubali CHADEMA!
Lililo muhimu ni kuondokana na hili zimwi linalotumaliza sote.
Hueleweki. Tuishie hapo.
 
Asante Mkuu
Hilda ataandika
Pambalu ataandika
Mnyika ataandika
Lema ataandika
nk
Then what?

Mnachosha mjue
Kaeni kimya msitusumbue na malalamiko yenu..
Mbona uchafuzi huu ni somo zuri na kielelezo tosha kwa kila mTanzania. Hivi hatuwezi kuanzia hapa huku tukielekea 2025; ambayo ndiyo sababu kuu inayo waondoa akili kichwani hawa wanaokosa busara kwa kufanya haya wanayo yafanya sasa?

Ni nani asiye weza kuelewa kinacho fanyika sasa na kwa nini kina fanyika. WaTanzania wenye kuitakia heri nchi yao, hata bila kuwa wapenzi wa CHADEMA hawawezi kuelewa hali hii, na wakashirikiana na CHADEMA kuzima hayo yanayo tarajiwa 2025?
Kiufupi, nawasihi waTanzania watumie nafasi hii ya uchafuzi kujiandaa na yatakayo fuata 2025. Bado kuna muda wa kutosha kupanga njia sahihi za kukataa hujuma hizi.
 
CHADEMA wanaboa sana saa zingine. Wanalalamika halafu wanashiriki uchaguzi. CCM ni wezi na wanataka kujihakikishia madaraka kwa ujinga wa upinzani.
 
Too late, wameishameza ndoano...waliingia mkenge wa muafaka feki, wakafutiwa Kesi mbaya za jinai, wakarudi kutoka uhamishoni ambapo hadi Leo hatujuhi nini kiliwapeleka huko, wakaambiwa sio lazima kuwa na Katiba mpya wakakubali, bila kuwa na ushahidi wakaamishwa kuwa mwendazake ndio alikuwa anataka kuwamaliza!

Ukweli mbona umewahi Sana kujidhihilisha sasa,
Dhalimu Magufuli ndio muasisi wa huu ushenzi unaooendelea kwenye chaguzi zetu kwa sasa. Au unadhani hatawezi kutambua ukweli?
 
Back
Top Bottom