LGE2024 CHADEMA acheni kulialia ujinga ni wenu

LGE2024 CHADEMA acheni kulialia ujinga ni wenu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.
Naliwashauri hapa hapa kabla hata zoezi la kuandikisha wapiga kura halijaanza. Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo na sasa mnalia kuchezewa rafu na ccm, muache kulialia mnatukera mlitegemea nini?

Hivi mlitegemea nini kushiriki uchaguzi huu ikiwa kila kitu kinaratibiwa na ccm kuanzia uandikishaji, utoaji form, uzimamizi wa uchaguzi kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni vema mkanyamaza na kuendelea kushiriki hyo haramu msitufanye watanzania wote ni wajinga kwamba tutawaonea huruma mmefeli sana.
 
Jambo la Katiba linahitaji subira..

Subira wewe chama gani ?
 
Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo sasa muache kulialia mnatukera.
YOU MUST BE STUPID AND CRAZY. WALIPOSUSIA LAST TIME KILITOKEA NINI? ULIWASHAURI WAACHE, SO WHAT? KWANI WALIPOACHA 2019CCM ILIWAKATAZA KUENDELEA NA OUVU WAO? PENDEKEZA WAFANYEJE/WANGELIFANYAJE? MKIITWA TWENDE KWEYE MAANDAMAN HAMUENDI, . WEWE NI CHAWA, MWENYE AKILI ZISIZO ZA KICHAWA HAWEZI KUSEMA/KUANDIKA HIVYO!
 
na tume huru isipoundwa hado 2050 itakuaje?
 
Wasalaam.
Naliwashauri hapa hapa kabla hata zoezi la kuandikisha wapiga kura halijaanza. Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo na sasa mnalia kuchezewa rafu na ccm, muache kulialia mnatukera mlitegemea nini?

Hivi mlitegemea nini kushiriki uchaguzi huu ikiwa kila kitu kinaratibiwa na ccm kuanzia uandikishaji, utoaji form, uzimamizi wa uchaguzi kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni vema mkanyamaza na kuendelea kushiriki hyo haramu msitufanye watanzania wote ni wajinga kwamba tutawaonea huruma mmefeli sana.
Katiba Mpya Kwanza, Chaguzi za Siasa Baadaye!
 
Shida CHADEMA wakijitoa CCM na vyama vingine vitshiriki
 
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana, ila bora awamu hii wataambulia chochote kitu.
 
Wasalaam.
Naliwashauri hapa hapa kabla hata zoezi la kuandikisha wapiga kura halijaanza. Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo na sasa mnalia kuchezewa rafu na ccm, muache kulialia mnatukera mlitegemea nini?

Hivi mlitegemea nini kushiriki uchaguzi huu ikiwa kila kitu kinaratibiwa na ccm kuanzia uandikishaji, utoaji form, uzimamizi wa uchaguzi kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni vema mkanyamaza na kuendelea kushiriki hyo haramu msitufanye watanzania wote ni wajinga kwamba tutawaonea huruma mmefeli sana.
Ushauri wako ni wa kuwapotosha. Hiyo Tume huru CCM wanegoma kuruhusu iwepo na wao ndiyo wenye dola hapo unafanyaje?

Wasiposhiriki uchaguzi CCM wanasonga mbeke kama ilivyokuwa kule zanzibar Cuf waliposusia uchaguzi.

Tatizo halisi nchi hii watu bado wamelala usingizi.

Wanasiasa wote hawana watu nyuma yao tofauti na Kenya ambapo kila mwanasiasa anajua ana watu wangapi nyuma yake ambao wanamsikiliza hata akiwaagiza jambo wanafanya. Hapa Tanzania mwanasiasa aliyekuwa na watu nyuma ni maalim Sefu na Nyerere tu.
 
Wasalaam.
Naliwashauri hapa hapa kabla hata zoezi la kuandikisha wapiga kura halijaanza. Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo na sasa mnalia kuchezewa rafu na ccm, muache kulialia mnatukera mlitegemea nini?

Hivi mlitegemea nini kushiriki uchaguzi huu ikiwa kila kitu kinaratibiwa na ccm kuanzia uandikishaji, utoaji form, uzimamizi wa uchaguzi kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni vema mkanyamaza na kuendelea kushiriki hyo haramu msitufanye watanzania wote ni wajinga kwamba tutawaonea huruma mmefeli sana.
Kususia haijawahi kuwa dawa,zaidi ni kuwazindua usingizini walio lala kuwa uhuni upo na wahuni wapo,zaidi ya hapo ni kujitambulisha kwa mhuni kuwa asikuchukulie poa.
 
Wasalaam.
Naliwashauri hapa hapa kabla hata zoezi la kuandikisha wapiga kura halijaanza. Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo na sasa mnalia kuchezewa rafu na ccm, muache kulialia mnatukera mlitegemea nini?

Hivi mlitegemea nini kushiriki uchaguzi huu ikiwa kila kitu kinaratibiwa na ccm kuanzia uandikishaji, utoaji form, uzimamizi wa uchaguzi kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni vema mkanyamaza na kuendelea kushiriki hyo haramu msitufanye watanzania wote ni wajinga kwamba tutawaonea huruma mmefeli sana.
Hiyo tume huru itakuja lini?! Ni nini kitaifanya CCM iruhusu tume huru ilhali Ina vyama vingine pandikizi ambavyo haviwezi kugomea uchaguzi wowote kwa tume hii hii inayolalamikiwa?!

CDM wakisusia uchaguzi huo CCM itakuwa na hasara gani wakati akina na ACT wazalendo, Chauma, UDP, NCCR mageuzi, CUF watashiriki chaguzi hizo kama vyama halali vya upinzani nchini?! Sanasana itakuwa furaha kwa CCM na Dunia itajus uchaguzi ulifanyika na vyama kadhaa vya upinzani vilishiriki. Period.
 
Wasiposhiriki uchaguzi CCM wanasonga mbeke kama ilivyokuwa kule zanzibar Cuf waliposusia uchaguzi.
Kwahiyo chadema waendelee kushiriki chafuzi hizi?
 
Wasalaam.
Naliwashauri hapa hapa kabla hata zoezi la kuandikisha wapiga kura halijaanza. Niliwasihi chadema wasithubutu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na chaguzi nyingine mpaka kuwe na tume huru wakashupaza shingo na sasa mnalia kuchezewa rafu na ccm, muache kulialia mnatukera mlitegemea nini?

Hivi mlitegemea nini kushiriki uchaguzi huu ikiwa kila kitu kinaratibiwa na ccm kuanzia uandikishaji, utoaji form, uzimamizi wa uchaguzi kuhesabu kura na kutangaza matokeo. Ni vema mkanyamaza na kuendelea kushiriki hyo haramu msitufanye watanzania wote ni wajinga kwamba tutawaonea huruma mmefeli sana.
Bila kushiriki uchaguzi huu uchafuzi usingeonekana. Ni kushiriki hadi mwisho ili mbivu na mbichi zijulikane.
 
Kwahiyo chadema waendelee kushiriki chafuzi hizi?
Kwahiyo chadema waendelee kushiriki chafuzi hizi?
Ndio
Mimi lazima nipige kura ila nikikuta kuna mgombea hana mpinzani ninanpigia kura ya hapana ndiyo sera yangu. Kama ni kuchakachua wachakachue na kura za hapana.

CHADEMA imejitahidi upande wake kama ni lawama watupie wananchi kama wewe ambao mnafikiri ukombozi wako utaletwa na mtu mwingina badala ya wewe mwenyewe.
 
Back
Top Bottom