CHADEMA acheni kutetea Polisi wa Tanzania, waacheni wapambane na hali yao

CHADEMA acheni kutetea Polisi wa Tanzania, waacheni wapambane na hali yao

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Viongozi wa CHADEMA ifkike mahala mkubali kuwa hawa watu so rafiki kwenui kwa vitendo wanaowafanyia, hivyo ni busara kuacha kabisa kwasemea ikiwemo kutetea masilahi ya Polisi wa nchi hii kama ambavyo mmekuwa mkifanya Bungeni na kwenye mikutano ya hadhara.

Acheni kabisa kuongelea hali za makazi yao, mishahara yao na stahiki zao zingine wakati huu mpaka labda mshike dola.Haina maana kutetea watu hawa na badala yake muwaache wapambane na hali zao.

Ni vigumu kuamini hili Jeshi halifungamani na siasa hasa ukitafakari jinsi linavyowatendea wanasiasa wa upinzani na sio sasa tu, bali ni kwa miaka mingi tangu tuingie katika mfumo wa vyama vingi.

Wanahabari na nyie mjitafakari na mjiulize kama hili jeshi kwenu ni rafikia bila kusahau yaliyomkuta Daudi Mwangosi kule Iringa enzi za JK.
 
Viongozi wa CHADEMA ifkike mahala mkubali kuwa hawa watu so rafiki kwenui kwa vitendo wanaowafanyia, hivyo ni busara kuacha kabisa kwasemea ikiwemo kutetea masilahi ya Polisi wa nchi hii kama ambavyo mmekuwa mkifanya Bungeni na kwenye mikutano ya hadhara.

Ni vigumu kuamini hili Jeshi halifungamani na siasa hasa ukitafakari jinsi linavyowatendea wanasiasa wa upinzani na sio sasa tu, bali ni kwa miaka mingi tangu tuingie katika mfumo wa vyama vingi.

Wanahabari na nyie mjitafakari na mjiulize kama hili jeshi kwenu ni rafikia bila kusahau yaliyomkuta Daudi Mwangosi kule Iringa enzi za JK.
Kabisaaa
 
Viongozi wa CHADEMA ifkike mahala mkubali kuwa hawa watu so rafiki kwenui kwa vitendo wanaowafanyia, hivyo ni busara kuacha kabisa kwasemea ikiwemo kutetea masilahi ya Polisi wa nchi hii kama ambavyo mmekuwa mkifanya Bungeni na kwenye mikutano ya hadhara.

Ni vigumu kuamini hili Jeshi halifungamani na siasa hasa ukitafakari jinsi linavyowatendea wanasiasa wa upinzani na sio sasa tu, bali ni kwa miaka mingi tangu tuingie katika mfumo wa vyama vingi.

Wanahabari na nyie mjitafakari na mjiulize kama hili jeshi kwenu ni rafikia bila kusahau yaliyomkuta Daudi Mwangosi kule Iringa enzi za JK.
Machadema mnachonishangaza ni namna Mko busy kuwatag Wazungu kana kwamba ndio mnawatumikia.

Sasa kama mnatunwa na Wazungu hamna Wananchi,hiyo Dola mtaishikaje? 😆😆😆😆😆
 
Polisi siyo kwamba wanafanya hayo kwa kutaka!
Kiapo cha utii ndiyo kinawasukuma kufanya hivyo! Changamoto tu ni kuwa wameacha weledi wa kufanya kazi zao inavyotakiwa na badala yake wamekuwa kama kama wahuni tu.
Kazi wanafanya tu basi kwa kuwa hawana namna!
 
Kuna mbabe wa kukata Msaada kama ananufaika? Si ajabu mnaitwa nyumbu
Tatizo lako unajirusha ufahamu mbona umekuja humu mbiombio baada ya Wanachadema kuwatag EU,US UK na 🍁?!
Tulizeni mishono muone halafu Uchaguzi Mkuu ujao Observers kutoka kila Kona ya Dunia na mkiiba tunalianzisha.
 
Tatizo lako unajirusha ufahamu mbona umekuja humu mbiombio baada ya Wanachadema kuwatag EU,US UK na 🍁?!
Tulizeni mishono muone halafu Uchaguzi Mkuu ujao Observers kutoka kila Kona ya Dunia na mkiiba tunalianzisha.
Kiufupi nawashangaa,hao mnaowatag kwako kuna shida kama zote 😁😁

Kwamba Wazungu watawasaidia kushika Dola? Never,ever
 
Kiufupi nawashangaa,hao mnaowatag kwako kuna shida kama zote 😁😁

Kwamba Wazungu watawasaidia kushika Dola? Never,ever
Unashangaa nini kila mbabe ana mbabe wake.

Viongozi wetu wakirejea Dar waitishe Maandamano ya Amani ya kuonyesha hisia zetu sisi ndio tunafanyiwa VURUGU na Dola ila sisi sio Watu wa vurugu.
 
Unashangaa nini kila mbabe ana mbabe wake.

Viongozi wetu wakirejea Dar waitishe Maandamano ya Amani ya kuonyesha hisia zetu sisi ndio tunafanyiwa VURUGU na Dola ila sisi sio Watu wa vurugu.
Nyie mtaendelea kutandikwa bakora hivyo hivyo maana hamjui nani wa kuwasaidia au mnapambana Kwa Ajili ya maslahi ya nani
 
Kwahiyo unasapoti State violence against us opposition? Hamuwezi kukaa kwenye Power Forever.
UONEVU huu utaleta MAJIBU ngojeni.
Kama hamna watu mnategenea Wazungu hayo majibu mtayapata lini? Probably Uongozi Mpya na kizazi kipya wewe na Mimi tutakuwa tumeshajufia huko.

Hamna strategy mnategenea mzungu? Poor you nyumbu,mpigwe tuu ndio maana mnakimbiwa na wanachama wenu wenyewe.
 
Kama hamna watu mnategenea Wazungu hayo majibu mtayapata lini? Probably Uongozi Mpya na kizazi kipya wewe na Mimi tutakuwa tumeshajufia huko.

Hamna strategy mnategenea mzungu? Poor you nyumbu,mpigwe tuu ndio maana mnakimbiwa na wanachama wenu wenyewe.
Hakuna Nchi ilikuwa ikidharauliwa kuwa ni WAPOLE na WAJINGA kama BANGLADESH 🇧🇩 lakini ulionaje pale yule MAMA alipokimbia bila Nguo za ndani?!
 
Hakuna Nchi ilikuwa ikidharauliwa kuwa ni WAPOLE na WAJINGA kama BANGLADESH 🇧🇩 lakini ulionaje pale yule MAMA alipokimbia bila Nguo za ndani?!
Narudia kuwaelimisha kwamba Mabadiliko hayaletwi na Vyama vya siasa,Hilo utasubiri sana.

Mabadiliko huletwa na kitu tofauti kabisa na huja overknit ila nyie Wanasiasa mtapigika sana na watu hawana time na nyie.

Sidhani hata yule Muhammed Yunnus Rais wa Mpito kama ni Upinzani au laaa
 
Polisi siyo kwamba wanafanya hayo kwa kutaka!
Kiapo cha utii ndiyo kinawasukuma kufanya hivyo! Changamoto tu ni kuwa wameacha weledi wa kufanya kazi zao inavyotakiwa na badala yake wamekuwa kama kama wahuni tu.
Kazi wanafanya tu basi kwa kuwa hawana namna!
Ila aliyeongoza haya alitakiwa atumie weledi, utasafirishaje watu waliokwenda na nauli zao kurudi makwao!?
 
Narudia kuwaelimisha kwamba Mabadiliko hayaletwi na Vyama vya siasa,Hilo utasubiri sana.

Mabadiliko huletwa na kitu tofauti kabisa na huja overknit ila nyie Wanasiasa mtapigika sana na watu hawana time na nyie.

Sidhani hata yule Muhammed Yunnus Rais wa Mpito kama ni Upinzani au laaa
Wanafunzi wa Bangladesh waliungwa mkono na Vyama vya Upinzani dhidi ya Serikali na Chama tawala cha Awami.

Naona unajaribu kuspin 😂
 
Back
Top Bottom