ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wapinzani walidandia tuu lakini haikuwa Ngoma Yao na Wala hawajawahi anzisha movement ikafaulu,siku zote walikuwa Wanaochezea kipondo.Wanafunzi wa Bangladesh waliungwa mkono na Vyama vya Upinzani dhidi ya Serikali na Chama tawala cha Awami.
Naona unajaribu kuspin 😂
So hakuna siku mtafaulu ila Mabadiliko yatakuja yenyewe automatically