Naamini hata CCM wangefurahi kama nyimbo zao zingepigwa kwenye mikusanyiko hata nyumba Kwa nyumba maana ni kuhesimishwa kupata wasikilizaji bila kuwekeza. Kuna mambo yanafikirisha badala ya kushangaza, kama si taarifa hiyo kutolewa na Jeshi la Polisi, ningeweza kukataa kama zinaweza kuwa zimetoka huko kunakotajwa.