CHADEMA acheni mkwara mbuzi usiokuwa na tija. Mnataka kudanganya kulikuwa na maridhiano? Lissu nae maneno mengi hana lolote

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mnataka kuleta uwongo kuwa kulikuwa na maridhiano? Acheni janja ya kishamba. Maridhiano gani sasa? Kwani Spika alikuwa na taarifa za uongo? Au ndio Mbowe aliingia makubariano ya kuacha harakati?
πŸ‘‡
Lissu anadai kutema cheche?
πŸ‘‡
 
Nakuona kamanda chokambaya upo kazini.
 
Tulia toka mwanzo tulisema hafai kuwa Spika bora ya mzee Chenge
Tulia kasema magari ya serikali yasiungurume nje masaa 3. Amesema "Sisi serikali tunapoona magari hayazimwi.....neno "Sisi serikali" anamaanisha bunge na serikali ni kitu kimoja, siyo mihimili tofauti.
 
Tulia kasema magari ya serikali yasiungurume nje masaa 3. Amesema "Sisi serikali tunapoona magari hayazimwi.....neno "Sisi serikali" anamaanisha bunge na serikali ni kitu kimoja, siyo mihimili tofauti.
Mbona haongelei posho zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…