CHADEMA acheni nongwa waacheni Wabunge waliopambania chama chenu wamalize muda wao

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Chadema kama chama kikuu cha upinzani hamna sababu za kuendelea kufatilia wabunge wa viti maalumu ambao tayari mmeshawafukuza kwa fitina zenu wenyewe tunajuwa nyie hampambani kwa ajiri ya Watanzania nyie mnapigania ugali wenu wenyewe.

Hamna sera yoyote yakukomboa taifa letu dhidi ya CCM ambayo inatapanya fedha za umma kila kukicha!

Hamna msimamo katika yale mnayoyaamini kesho mnatangaza fulani fisadi kesho hiyohiyo mliyemchafua mnamchagua kwenye kinyanga'nyiro cha uraisi.

Nyie ni chama mfilisi hamna agenda yoyote ni wasakatonge tu hamna cha katiba mpya mkipewa vijisent mnasahau agenda zenu.
 
CC ya CCM wamekubaliana na sisi kwenye suala la katiba mpya, hii inathibitisha hata CCM wenyewe wanatukubali kwenye masuala ya kupigania maslahi ya wananchi.

Haya nenda kakinge buku teni hilo kwa Tulia. Usisahau pia kumpa salamu kwamba atulie wana Mbeya 2025 tunamletea Sugu amsugue.
 
CC ya CCM wamekubaliana na sisi kwenye suala la katiba mpya, hii inathibitisha hata CCM wenyewe wanatukubali kwenye masuala ya kupigania maslahi ya wananch...
Yaani CCM wamepeta hahahaha wanakimbia vivuli vyao
 
Hatari sana.
 
Chadema kama chama kikuu cha upinzani hamna sababu za kuendelea kufatilia wabunge wa viti maalumu ambao tayari mmeshawafukuza kwa fitina zenu wenyewe tunajuwa nyie hampambani kwa ajiri ya Watanzania nyie mnapigania ugali wenu wenyewe....
Kwani aliyekuambia watu wanafurahia uharamia ni nani?
 
Unataka chadema waachane na wabunge wanaoitwa wa chadema. Kwanini kwakuwa mnawapenda sana hawa 19 msiwape uccm kisha muwaache bungeni kama wabunge wa ccm. Si mmezoea kuvunja sheria fanyeni tu mnavyotaka.

Huyo unayemsema chadema walimsema fisadi kisha wakamuweka kugombea yuko wapi sasa hivi? Mmecheza mziki wa chadema na nyie?
 
Chadema kama chama kikuu cha upinzani hamna sababu za kuendelea kufatilia wabunge wa viti maalumu ambao tayari mmeshawafukuza kwa fitina zenu wenyewe tunajuwa nyie hampambani kwa ajiri ya Watanzania nyie mnapigania ugali wenu wenyewe...

CCM wameunga mkono katiba mpya ilotakiwa uwapongeze chadema.
 
nyie ma CCM mlio wadanganya na kuwaingiza 'mukengee' si muwachukue na muwape ubunge kupitia hicho chama chemu chakavu?
 
Kaiambie mahakama iliowayoa
Chadema kama chama kikuu cha upinzani hamna sababu za kuendelea kufatilia wabunge wa viti maalumu ambao tayari mmeshawafukuza kwa fitina zenu wenyewe tunajuwa nyie hampambani kwa ajiri ya Watanzania nyie mnapigania ugali wenu wenyewe...

Kaiambie mahakama iliyowatoa nishai juzi. Wale wanawaibia wananchi sio chadema. Chadema waliweka historia wazi kwamba waliwafukuza.
 
Ufipa wanataka kuwakomoa COVID-19 wakose mafao na stahiki zao kama wastaafu.
 

Mkuu umepanic mpaka tumeshindwa kujua hasa hoja yako ni ipi. Tulia uje na hoja inayoeleweka, na sio hayo maneno ya bendera fuata upepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…