CHADEMA acheni uzandiki. Ina maana uwanja wa ndege wa Chato ungejengwa Bukoba ndio ajali isingetokea?

Dana dana hazisaiidii..
Kutafuta sifa hakusaidii
Watu wamepoteza wapendwa wao pale...kuna yatima pale kuna wajane na wagane......

Uzembe tena sio mdogo ndo ulifanyika... Nikikumbuka marubani hatunao japo uwezekano wa kupona ulikuwepo sina hamu na viongozi wetu.

Acheni kujisafisha...hamuwezi kungaa kwa hali hii.....

Halafu mlima kilimanjaro mshauzima??
 
Wajinga sana hawa jamaa
ujenzi wa uwanja wa ndege wa chato ulipitishwa na kikao gani cha bunge?
uligharimu shilingi ngapi
ulijengwa na kampuni ya nani?
tenda ya ujenzi ilitangazwa lini mzabuni alipatikanaje?
TUACHE KUABUDU WATU TUABUDU NCHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…