Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kuna taarifa kuwa mipango inafanywa kwa hali na mali kuhakikisha kuwa PM wa sasa Majaliwa anapita bila kupingwa na chama chochote uchaguzi wa Ubunge.
Hiyo itakuwa ishara mbaya sana na hatutawaelewa zaidi ya kuona viongozi mnanunulika inapobidi.
Hakikisheni hilo halifanikiwi kwa kulisimamia toka taifani na sio kuwaachia walioko Ruangwa pekee.
Hiyo itakuwa ishara mbaya sana na hatutawaelewa zaidi ya kuona viongozi mnanunulika inapobidi.
Hakikisheni hilo halifanikiwi kwa kulisimamia toka taifani na sio kuwaachia walioko Ruangwa pekee.