Uchaguzi 2020 CHADEMA/ACT Kutokugombea Ruangwa kutaonyesha nyie ni dhaifu

Uchaguzi 2020 CHADEMA/ACT Kutokugombea Ruangwa kutaonyesha nyie ni dhaifu

Yaani mnataka Mhe Waziri Mkuu naye ahenye! Apite kwa Mbiiiinde au ikiwezekana ashindwe kabisa, duh! Ila Siasa hatari sana. Yaani ashindwe KWENDA kutekeleza majukumu ya Serikali.

Huyo ni waziri mkuu wa ccm, apite bila kupingwa huko huko ccm, sio kwenye uchaguzi mkuu.
 
Tena Waziri anatakiwa awe na Upinzani uliokomaa kama John Heche, Lema, Msigwa, Zitto nk sio ateuliwe mgombea duni asishtua waliko madarakani
 
Kuna taarifa kuwa mipango inafanywa kwa hali na mali kuhakikisha kuwa PM wa sasa Majaliwa anapita bila kupingwa na chama chochote uchaguzi wa Ubunge.

Hiyo itakuwa ishara mbaya sana na hatutawaelewa zaidi ya kuona viongozi mnanunulika inapobidi.

Hakikisheni hilo halifanikiwi kwa kulisimamia toka taifani na sio kuwaachia walioko Ruangwa pekee.
Nimesikia wagombea wa CDM na ACT Ruangwa wamepigwa sana na kujeruhiwa na watu wasiojulikana, huu ni mwendelezo wa hujuma kwa wapinzani. MKM aingie mtaani kama anataka kufanya siasa na sio kuomba aachiwe ubunge.
 
Back
Top Bottom