kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
chadema haina wanachama wajingawajinga kama hao, hayo ni matakataka ya ccm yaliyovalishwa mavaz ya chadema.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.
Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Unataka kujifanya unawajua wanachama wa chadema nchini nzima baba ako Mbowe mwenyewe hawajui tuliachadema haina wanachama wajingawajinga kama hao, hayo ni matakataka ya ccm yaliyovalishwa mavaz ya chadema.
Hii ni Serikali ya Awamu ya Tano. Watanzania hatujafanya Uchaguzi wa Viongozi wa Awamu ya Sita kuwa na akili basiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.
Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Siasa za maendeleo.πππRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.
Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Jambo jema sana maana Rais ni wa watanzania wote na sio wa chama kweli Rais Samia Suluhu anapendwa sana na wananchi wakeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.
Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Wewe ndio uwe na akili mzee huu ni utawala wa awamu ya sita chini ya Rais Samia SuluhuHii ni Serikali ya Awamu ya Tano. Watanzania hatujafanya Uchaguzi wa Viongozi wa Awamu ya Sita kuwa na akili basi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.
Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Unataka kujifanya unawajua wanachama wa chadema nchini nzima baba ako Mbowe mwenyewe hawajui tulia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia mkoani Lindi yalihudhuriwa na wananchi mbalimbali wakiwemo wananchama wa vyama vya Upinzani kama CHADEMA na ACT.
Wanachana hao walisikia wakisema siasa si uadui, Kuhudhuria mapokezi hayo ni kwasababu wameiona kazi inayofanywa na serikali ya awamu ya sita ambayo Rais Samia ndiye anayeiongoza.
Jambo jema sana maana Rais ni wa watanzania wote na sio wa chama kweli Rais Samia Suluhu anapendwa sana na wananchi wake
Wewe ndio uwe na akili mzee huu ni utawala wa awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu
Wape madiniSamia hapendi haya maigizo yenu,hatupingi wanachadema kumpokea Rais,lakini kwa nini maigizo?