econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Nilichokiona kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa ni kwamba wananchi Wana muamko wa kupigia kura upinzani shida upinzani umegawanyika.
Nina shauri ya kwamba upinzani wafikirie kutengeneza alliance ambapo wataungana 2025 na kuwa na mgombea mmoja wa urais, ubunge na udiwani kwa kuangalia chama gani kinakubalika kwa eneo.
2025 msimame pamoja kwa Hila za CCM kila chama kikisimama chenyewe hakuna litakalopatikana.
Nina shauri ya kwamba upinzani wafikirie kutengeneza alliance ambapo wataungana 2025 na kuwa na mgombea mmoja wa urais, ubunge na udiwani kwa kuangalia chama gani kinakubalika kwa eneo.
2025 msimame pamoja kwa Hila za CCM kila chama kikisimama chenyewe hakuna litakalopatikana.