Elections 2015 CHADEMA Asili, CHADEMA Mbowe, CHADEMA Lowassa

Elections 2015 CHADEMA Asili, CHADEMA Mbowe, CHADEMA Lowassa

natumbaku Chambeho

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
551
Reaction score
209
Ndio muonekano wa chadema ulivyo sasa. Hawa asili akiwemo Slaa wamebaki kupigwa butwaa hawaamini yanayotokea na yanayoendelea chamani.

CHADEMA Mbowe wao wanaamini uamuzi wa kubadilishia gia angani ulikuwa sahihi kabisa. Lakini wana jambo bado linawasumbua nafsini mwao hawana uhakika, je Lowassa ndie aliomba kujiunga na CHADEMA au mwenyekiti ndie alimshawishi kuingia CHADEMA, kwa makubaliano gani?

CHADEMA Lowassa wao wamekuwa wenyeji kuliko hata walio wakaribisha chamani, kiu yao ya kuupata urais ndio imepamba moto, wanaendeleza mikakati yao. Tumewaona mitaani wakiusaka urais kwa udi na uvumba hawana habari tena na waliowakuta chamani wana mipango na mikakati yao tofauti.

Nauliza, kwa utaratibu huu wa kila mwamba ngoma kuvutia kwake kuna la maana litakalo patikana Oktoba 25?

Tusubiri tuone, maana walianza na Mungu wakaona anawachelewesha wameamua kuwahi kwa kumaliza na Lowassa na fedha zake.
 
Na miujiza ikitokea wakashinda, Chadema Lowassa tu ndiyoitakayo tambulika. Mbowe na EL wanatengeneza kolabo kisha wengine wote mwisho wao utakua hapo...
 
Mbona mahasidi mnaijadili ndoa ya watu wakti wao wametulia.?
 
Chadema kwani umeona kuna mpasuko wowote? uliyoyaandika inareflect propaganda na yaonyesha ccm mna hali ngumu.

Mpasuko, ccm mna hali ngumu,wewe wasema. Mimi nimeandika mambo yanavyo onekana hapo chadema. Au unadhani aliyekaa pembeni ni Slaa tu? Utakuwa unakosea, wako wanachama wenu na walliokuwa wanawaamini bure bila ya kuwa wanachama wenu.

Unadhani pumbafu na lofa ni nani aliyekuwa analengwa? Ni yule aliyeyarudia na kulamba matapishi yake. Ila wajanja wanawasingizia watanzania wa hali ya chini.
 
asilimia kubwa ya walioko UPINZANI walitoka CCM na kumekuwa na tendency ya watu kuhamia UPINZANI karibukila siku hapa mi sioni ajabu
 
Ndio muonekano wa chadema ulivyo sasa. Hawa asili akiwemo Slaa wamebaki kupigwa butwaa hawaamini yanayotokea na yanayoendelea chamani.

Chadema Mbowe wao wanaamini uamuzi wa kubadilishia gia angani ulikuwa sahihi kabisa. Lakini wanajambo bado linawasumbua nafsini mwao hawana uhakika, je EL ndie aliomba kujiunga na chadema au mwenyekiti ndie alimshawishi kuingia cdm, kwa makubaliano gani?

Chadema EL wao wamekuwa wenyeji kuliko hata walio wakaribisha chamani, kiu yao ya kuupata urais ndio imepamba moto, wanaendeleza mikakati yao. Tumewaona mitaani wakiusaka urais kwa udi na uvumba hawana habari tena na waliowakuta chamani wana mipango na mikakati yao tofauti.

Nauliza, kwa utaratibu huu wa kila mwamba ngoma kuvutia kwake kuna la maana litakalo patikana oktoba 25?

Tusubiri tuone, maana walianza na Mungu wakaona anawachelewesha wameamua kuwahi kwa kumaliza na EL na fedha zake.
Mkuu ulitegemea cdm ipate wanachama wapya kutoka Zimbabwe?
 
Mpasuko, ccm mna hali ngumu,wewe wasema. Mimi nimeandika mambo yanavyo onekana hapo chadema. Au unadhani aliyekaa pembeni ni Slaa tu? Utakuwa unakosea, wako wanachama wenu na walliokuwa wanawaamini bure bila ya kuwa wanachama wenu.

Unadhani pumbafu na lofa ni nani aliyekuwa analengwa? Ni yule aliyeyarudia na kulamba matapishi yake. Ila wajanja wanawasingizia watanzania wa hali ya chini.

ujinga nawelewa nivi2 viwili tofauti,unatakiwa ushirikishe naubongo kujadiri,hapa umeandika pumba 2pu,ha2danganyiki pole sana,
 
Jamani hizi nyuzi zinz Lengo la kuleta mgawanyiko CHADEMA kuweni makini na watu hawa
 
ujinga nawelewa nivi2 viwili tofauti,unatakiwa ushirikishe naubongo kujadiri,hapa umeandika pumba 2pu,ha2danganyiki pole sana,

Aisee na wewe ukaona baada ya kusoma pumba uchangie pumba. Mkapa alishamaliza stahiki ya watu wa aina yako.
 
Jamani hizi nyuzi zinz Lengo la kuleta mgawanyiko CHADEMA kuweni makini na watu hawa

Wangekuwa makini wasingebadili gia angani, matokeo yake maamuzi hayo yameua na kufifisha ile team spirit na ule umoja uliokuwepo chadema.

Chama kinaelekea kwenye uchaguzi kikiwa hakijui kinasimamia mini? Au wewe niambie chadema wanapiga vita ufisadi au wanakumbatia ufisadi?
 
Ndio muonekano wa chadema ulivyo sasa. Hawa asili akiwemo Slaa wamebaki kupigwa butwaa hawaamini yanayotokea na yanayoendelea chamani.

CHADEMA Mbowe wao wanaamini uamuzi wa kubadilishia gia angani ulikuwa sahihi kabisa. Lakini wana jambo bado linawasumbua nafsini mwao hawana uhakika, je Lowassa ndie aliomba kujiunga na CHADEMA au mwenyekiti ndie alimshawishi kuingia CHADEMA, kwa makubaliano gani?

CHADEMA Lowassa wao wamekuwa wenyeji kuliko hata walio wakaribisha chamani, kiu yao ya kuupata urais ndio imepamba moto, wanaendeleza mikakati yao. Tumewaona mitaani wakiusaka urais kwa udi na uvumba hawana habari tena na waliowakuta chamani wana mipango na mikakati yao tofauti.

Nauliza, kwa utaratibu huu wa kila mwamba ngoma kuvutia kwake kuna la maana litakalo patikana Oktoba 25?

Tusubiri tuone, maana walianza na Mungu wakaona anawachelewesha wameamua kuwahi kwa kumaliza na Lowassa na fedha zake.

Wenyeji wamejificha, wanaogopa kumnadi FISADI
 
Mleta mada wewe ni lofa na ni mpumbavu!

Malofa na wapumbavu ni wale walioamua kulamba matapishi yao kwa kukosamsimamo. Halafu watu wa aina yako ndio mnakuja hapa mtandaoni mkiwashangaa Warioba, Butiku, Polepole nk. Mnataka eti mkumbatie EL na hawa WakinaWarioba? Maajabu makubwa haya! Mkapa hakukosea kawapa stahiki yenu.
 
Wenyeji wamejificha, wanaogopa kumnadi FISADI

Zamani mtu ukijua kama cdm wanamkutano wa kitaifa unajua pale meza kuu watakuwepo kina nani? Lakini saa hizi Mbowe na mc mwalimu ndio predictable, hujui atakuwa Lissu, Mnyika au Olemedei Msindai,Mgeja. Team imeparaganyija kabisa. Mbaya zaidi hujui nini kitaongelewa.
 
Mkuu ulitegemea cdm ipate wanachama wapya kutoka Zimbabwe?

Zimbabwe tena! Hapana hapahapa Tanzania, tatizo unawapata kwa staili gani? Hii ya kuuza chama na kuwaingiza wenzako wote kwenye kulamba matapishi? Hii haikubaliki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom