johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna wakati ukivifikiria hivi vyama vya upinzani unaelewa ni kwanini CCM inaweza kuongoza hii nchi kwa namna inavyotaka.
KUB anaomba eti NEC ndio isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa badala ya waziri wa Tamisemi.......yaani anaamini hapo ndio haki itatendeka.
Binafsi sioni tofauti kati ya NEC na Jaffo kwa sababu hata uchaguzi mkuu wasimamizi ni wakurugenzi ambao wako chini ya waziri wa Tamisemi.
Kiukweli hapa tulipofika hatuna upinzani nchi hii bali tunao mfano tu wa upinzani.
Yaani badala ya kupigania Tume huru ya uchaguzi wewe unapendekeza tume inayoteuliwa na mwenyekiti wa CCM iongezewe majukumu?
Upinzani ni bure kabisa.......ruzuku yetu ni bora wapewe wanafunzi wa elimu ya juu itasaidia taifa siku za usoni.
Maendeleo hayana vyama!
KUB anaomba eti NEC ndio isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa badala ya waziri wa Tamisemi.......yaani anaamini hapo ndio haki itatendeka.
Binafsi sioni tofauti kati ya NEC na Jaffo kwa sababu hata uchaguzi mkuu wasimamizi ni wakurugenzi ambao wako chini ya waziri wa Tamisemi.
Kiukweli hapa tulipofika hatuna upinzani nchi hii bali tunao mfano tu wa upinzani.
Yaani badala ya kupigania Tume huru ya uchaguzi wewe unapendekeza tume inayoteuliwa na mwenyekiti wa CCM iongezewe majukumu?
Upinzani ni bure kabisa.......ruzuku yetu ni bora wapewe wanafunzi wa elimu ya juu itasaidia taifa siku za usoni.
Maendeleo hayana vyama!