Ukitaka hayo uliyoyasema, omba serekali ya chama kimoja tuu, sio vyama vingiKila msema kweli ataambiwa ni CDM hiyo,mpinzani,wakala wa beberu(Kuwadi?),mchochezi na majina kama hayo.Watetea maovu tuwaite CCM?
Watanzania turudi kwenye ile misingi yetu ya asili ya Amani na upendo,tuepuke chuki,ubaguzi,unyanyasaji,uvunjifu wa sheria na katiba.Mlinzi wa nchi yetu ni Sisi sote na tusiruhusu wanaovunja katiba.
Kama kuna chama Tawala bora hapa kwetu waruhusu shughuli za kisiasa kwa usawa na tuache Wananchi wachague viongozi wao bila figisu tuone nani wanapendwa kuwawakilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app