CHADEMA behaves like a novice political party

Asante sana
 
Paskali
The law graduate who has never stepped his foot in any court of law to practice the profession
Mkuu nyabhingi, amini usiamini, hiki ninachofanya hapa na hata kuandika magazetini, ninasaidia sana, kuliko hata ningeenda mahakamani!.
is hereby disrespecting the learned brothers Kibatala and et al who humiliated the entire system in Mbowe's trumped up terrorism charges..
I didn't disrespected or humiliated any learned brothers and sisters but I said if it was Advocate Murtaza Lakha, just by sighting comments from someone aliyehojiwa na Salim Kikeke, about that case, the government would have been cornered to a tight angle and left with no options apart from using DPP to bring nolle to rescue the government on such embarrassment.
The bush lawyer Paskali always thinks he is slick.
It's true at the moment Pascal Mayalla is a bush lawyer and he is still living in bush and beating around the bush, natafuta nauli, nitoke bush kuja mjini hivyo my title will change from bush lawyer to town lawyer or street lawyer.
P
 
We ajuza baada ya kupokea rushwa kwa mwarabu ukasaliti ndugu zako wamasai umegeukia CHADEMA. Shame on you
 
Rushwa inamsumbua kama Pascal Njaa
 
Umekiri sasa kuwa hakuna mawakili isipokuwa mnapebwa na Tulia?
 
Stupid of you! How do you know conclusively that Chadema did not anticipate that?
 
Katika vilaza niliowahi kuwapitia mmoja wapo Ni wewe! Unajuaje Kama hawakuforesee Hilo unaloliseka? Umeongea nao? Ulitaka wafanyeje? Nilitegemea kwa busara umtaje Tulia! Instantly, mwenye akili alitegemea Tulia awasimamishe baada ya hukumu kutoka. Hakufanya hivyo, unategemea Chadema ifanye Nini? Unaona hata Jaji huyu wa mchongo anatoa zuio la kuaitisha ubunge harakaharaka kwa speed ya mwanga. Chadema wafanye Nini?
 
Mpuuzi kabisa wewe, unajua fika kuwa Hawa akina Halima wanalindwa na mfumo, then una blame Chadema.
Huyu Mustafa Ni Jajiwa mchongo, sikilizia hukumu yake ndiyo akili itakurudi kama wewe si Mayalla
 
Mpuuzi kabisa wewe, unajua fika kuwa Hawa akina Halima wanalindwa na mfumo, then una blame Chadema.
Huyu Mustafa Ni Jajiwa mchongo, sikilizia hukumu yake ndiyo akili itakurudi kama wewe si Mayalla
Ukisikia kuweweseka ndiko huku,
Mkuu Getrude Mollel, bandiko lako hili, limewachanganya sana hawa manyumbu wa humu, naomba saidia kuwajibu hawa vilaza humu, wanaweweseka kwa kudhani ni mimi nimekuja na multiple ID.
P
 
Pascal Mayalla ni mwanasheria tu ila sio wakili.
 
"You thought the way you looks" you don't need PHD to know the truth of the Sagar. But because you are partisan, you walk and think blinded. Ndugu zako wanasagwa Kama nyumbu na nguruwe mwitu kupelekwa Tanga, uko kimya unakuja kenyua hapa na kiiingereza mingi kuwadhalilisga CDM na mawakili wasomi. Shame on u. You are just a shithool. Nonsense.
 
Hivi huwa mnapata muda wapi wa kujibizana na zezeta kama huyo bwana hapo? Maandiko yake huwa sisomi kabisa.
Kuna baadhi ya maandishi ya baadhi ya baadhi ya watu humu sio maandishi kwa ajili ya wote bali ni maandishi kwa ajili ya watu maalum wenye viwango fulani vya uelewa, ukitokea wewe sii miongoni mwa watu wa viwango hivyo utaishia kutokuelewa, to save your time, jf imeweka kitufe cha ignore, nakushauri ukitumie, mimi hukitumia sana kuniepushia kujadiliana serious issues na baadhi ya vilaza waliotamalaki humu
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…