CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ni wazi kuwa kupata katiba mpya hakuwezi kuwa kwa lelemama.

Ni wazi kuwa uwepo wa wahafidhina wenye maslahi na katiba iliyopo ndiyo kilicho kikwazo pekee.

Ni wazi kuwa wenye uthubutu wa kuzisukuma mbele jitihada hizi takatifu za kuwafanya wahafidhina hawa kusikia ni Chadema.

Ni wazi kuwa kwenye hili wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ndiyo iliyo karata ya turufu.

Hata hivyo Chadema nao wanatuangusha kwenye haya:

1. Kukosekana kwa uongozi usiotetereka (muda wote) wa kuyasukuma mbele (spearhead) madai haya halali ya wananchi ya kudai katiba mpya.
2. Kukosekana kwa mkakati wa wazi usiotatizika wa kudai katiba mpya.
3. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuwahami wahanga wote ambao ni lazima watakuwapo kwenye harakati hizi.
4. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuwahusisha wote watakao kuchangia harakati hizi, usiomnufaisha mtu yeyote kama fursa.
5. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuyajaza magereza yao pomoni.

Wananchi tuko tayari.

Kule juu palihitaji wapambanaji wasiochoka wa aina za kina Mandela, Oliver Tambo, Cyril Ramaphosa, Chris Hani, Solomon Mahlangu, Steve Biko na wa namna hiyo wa enzi za ukombozi.

Hapa kwetu uongozi wa washupavu kama akina Aboubakar Mbowe, Lema, Heche, Lissu, na wa namna hiyo ambao hofu kwao mwiko na kuaminika kwao ni kama wote ni lazima uwepo muda wote.

Damu haipaswi kulala!

Huu si muda wa kuangaliana usoni na kuoneana haya. Huu ni muda wa kuangaliana usoni na kupeana makavu kwa mustakabala mwema wa mapambano haya.

Wenye hofu na wakae pembeni kiroho safi tu. Wasiokuwa na ujasiri unaotakikana watupishe.

Wavumao baharini papa, lakini na wengine wapo!

Magereza yakijaa kesho hata Mh. Mbowe anatoka kesho hiyo hiyo wala kesi hamna.
 

Katiba mpya haitapatikana kwa kuogopa kwenda jela, virungu au kufa.

Katiba mpya haitapatikana bila kuwa na uongozi ulio imara kweri kweri. Uongozi unahitajika kuwaunganisha watu na kuwapa msimamo, mwelekeo na maelekezo.

Uongozi una majukumu na gharama zake.

Wananchi hawawezi kutegemewa siku moja from nowhere kuamka tu kama mvua.

Tusisubiri kula matunda bali tushiriki kuyatafuta matunda. Tuuvue woga.

Itakuwa muhimu tuliodhamiria tukafahamiana na waoga wakatupisha.
 
Wananchi wa wapi hao wako tayari? Yani mtu haijui hata iyo katiba iliyopo alafu awe tayari kupigania mpya ?

Kwanini isiwepo kampeni ya kuhamasisha watu waijue kwanza katiba iliyopo kabla ya kuwahimiza kudai mpya?
 
Chadema wasilaumiwe kwa suala la katiba mpya! Wanajitoa mhanga sana, wengine wapo jela ila tatizo ni sisi wananchi kushindwa kuwaunga mkono kivitendo.
Ndiyo ujue hiyo katiba wanaidai CHADEMA na viongozi wao. Wananchi wapo busy wanasaka tonge.
Siku kweli wananchi wakiitaka hiyo katiba,ni asbh tu. Yaani hakutakua na mazungumzo.

Kwasasa fanyeni kazi kwanza mpate ugali. Wakati ukifika,wala haitotumika nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wasilaumiwe kwa suala la katiba mpya! Wanajitoa mhanga sana, wengine wapo jela ila tatizo ni sisi wananchi kushindwa kuwaunga mkono kivitendo.

Kujikosoa ni hatua njema ya kuyafikia mafanikio. Kwamba wananchi wameshindwa kuunga mkono? Hii ni "too general a statement" isiyosaidia, yenye kupendeza kwa adui tu.

1. Uko wapi mkakati wa mapambano?
2. Wahanga tuna wahami vipi au ni kila mchuma janga ana kula na wakwao?
3. Uko wapi mkakati wa kuwashirikisha wote wenye kutaka katiba mpya?

Haya ni mambo ya msingi yenye kuhitaji organization (uongozi).

Bila organization hatuwezi kutoboa.
 
Wananchi wa wapi hao wako tayari? Yani mtu haijui hata iyo katiba iliyopo alafu awe tayari kupigania mpya ?

Kwanini isiwepo kampeni ya kuhamasisha watu waijue kwanza katiba iliyopo kabla ya kuwahimiza kudai mpya?

Kampeni ya kuwahamasisha wasiojua inafanyika vipi kama inazuiwa kwa nguvu na wenye maslahi na katiba iliyopo?

Si kweli kuwa wananchi hawako tayari. Bali jitihada za kudai katiba zinazimwa kwa matumizi ya nguvu.

Zingine hizi ni propaganda uchwara kwa kujua au kutokujua.
 
Ndiyo ujue hiyo katiba wanaidai CHADEMA na viongozi wao. Wananchi wapo busy wanasaka tonge.
Siku kweli wananchi wakiitaka hiyo katiba,ni asbh tu. Yaani hakutakua na mazungumzo.

Kwasasa fanyeni kazi kwanza mpate ugali. Wakati ukifika,wala haitotumika nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna siku wananchi watatoka wenyewe majumbani kudai katiba hata tuchukue miaka 1,000.

Ieleweke mawazo kama yako ni yale ya wanufaika wa status quo au wale waliodhamiria kusubiri matunda kula (opportunists) bila kuwa sehemu ya mapambano.

Chadema hatupaswi kuvunjwa moyo na watu kama huyu.

Haya ni muhimu:

1. Uko wapi mkakati wa mapambano?
2. Wahanga tuna wahami vipi au ni kila mchuma janga ana kula na wakwao?
3. Uko wapi mkakati wa kuwashirikisha wote wenye kutaka katiba mpya?

Nguvu moja katiba ni hitajio la wananchi.
 
Ni wazi kuwa kupata katiba mpya hakuwezi kuwa kwa lelemama.

Ni wazi kuwa uwepo wa wahafidhina wenye maslahi na katiba iliyopo ndiyo kilicho kikwazo pekee.

Ni wazi kuwa wenye uthubutu wa kuzisukuma mbele jitihada hizi takatifu za kuwafanya wahafidhina hawa kusikia ni Chadema.

Ni wazi kuwa kwenye hili wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ndiyo iliyo karata ya turufu.

Hata hivyo Chadema nao wanatuangusha kwenye haya:

1. Kukosekana kwa uongozi usiotetereka (muda wote) wa kuyasukuma mbele (spearhead) madai haya halali ya wananchi ya kudai katiba mpya.
2. Kukosekana kwa mkakati wa wazi usiotatizika wa kudai katiba mpya.
3. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuwahami wahanga wote ambao ni lazima watakuwapo kwenye harakati hizi.
4. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuwahusisha wote watakao kuchangia harakati hizi, usiomnufaisha mtu yeyote kama fursa.
5. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuyajaza magereza yao pomoni.

Wananchi tuko tayari.

Kule juu palihitaji wapambanaji wasiochoka wa aina za kina Mandela, Oliver Tambo, Cyril Ramaphosa, Chris Hani, Solomon Mahlangu, Steve Biko na wa namna hiyo wa enzi za ukombozi.

Hapa kwetu uongozi wa washupavu kama akina Aboubakar Mbowe, Lema, Heche, Lissu, na wa namna hiyo ambao hofu kwao mwiko na kuaminika kwao ni kama wote ni lazima uwepo muda wote.

Damu haipaswi kulala!

Huu si muda wa kuangaliana usoni na kuoneana haya. Huu ni muda wa kuangaliana usoni na kupeana makavu jwa mustakabala mwema wa mapambano haya.

Wenye hofu na wakae pembeni kiroho safi tu. Wasiokuwa na ujasiri unaotakikana watupishe.

Wavumao baharini papa, lakini na wengine wapo!

Magereza yakijaa kesho hata Mbowe anatoka kesho wala kesi hamna.
Usiandike kitu ukiwa na stress!!
Wewe mwenyewe umejificha huku,halafu unataka watu wakajaze magereza.
Kila mtu anaongea na nafsi yake,na nafsi haimdanganyi mwenye nayo,so bado wakati wa hayo unayoyataka haujafika.

Sababu zinazowafanya muidai katiba mpya,ndicho kikwazo kikubwa cha madai hayo kutokufanikiwa.

Huwezi kudai katiba kwa lengo la kuitoa CCM madarakani na bado ukadhani utafanikiwa.
Ni ngumu.
Asilimia kubwa ya hao mnaowaita wananchi ni CCM,na ndiyo mnaowabagaza na kuwatukana,usidhani watakupeni ushirikiano.

Kingine,watu wakikitafuta chama chenu hawakioni. Yaani hakuna mtu mwenye akili timamu utamuambia ajiunge CHADEMA akakuelewa. Mnawaza ukombozi wa kizamani. Ukombozi uliotumika kwaondoa wazungu ambao hapakua na ndugu yetu mzungu hata mmoja.

Leo unataka wachaga waungane kuitoa CCM na kudai katiba ilihali kuna idadi kubwa ya wachaga wanaonufaika na katiba iliyopo na CCM?
Huo ni mfano.

Wekezeni kwenye kuelimisha watu kwanza kabla ya kudai matokeo. Elimu ikikolea hata CCM watawaunga mkono,na hapo ndipo utakua mwisho wa katiba iliyopo na CCM yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiandike kitu ukiwa na stress!!
Wewe mwenyewe umejificha huku,halafu unataka watu wakajaze magereza.
Kila mtu anaongea na nafsi yake,na nafsi haimdanganyi mwenye nayo,so bado wakati wa hayo unayoyataka haujafika.

Sababu zinazowafanya muidai katiba mpya,ndicho kikwazo kikubwa cha madai hayo kutokufanikiwa.

Huwezi kudai katiba kwa lengo la kuitoa CCM madarakani na bado ukadhani utafanikiwa.
Ni ngumu.
Asilimia kubwa ya hao mnaowaita wananchi ni CCM,na ndiyo mnaowabagaza na kuwatukana,usidhani watakupeni ushirikiano.

Kingine,watu wakikitafuta chama chenu hawakioni. Yaani hakuna mtu mwenye akili timamu utamuambia ajiunge CHADEMA akakuelewa. Mnawaza ukombozi wa kizamani. Ukombozi uliotumika kwaondoa wazungu ambao hapakua na ndugu yetu mzungu hata mmoja.

Leo unataka wachaga waungane kuitoa CCM na kudai katiba ilihali kuna idadi kubwa ya wachaga wanaonufaika na katiba iliyopo na CCM?
Huo ni mfano.

Wekezeni kwenye kuelimisha watu kwanza kabla ya kudai matokeo. Elimu ikikolea hata CCM watawaunga mkono,na hapo ndipo utakua mwisho wa katiba iliyopo na CCM yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Aya ya kwanza kwenye mada inakuhusu:

"Ni wazi kuwa kupata katiba mpya hakuwezi kuwa kwa lelemama."

Aya ya pili kwenye mada inakuhusu pia:

"Ni wazi kuwa uwepo wa wahafidhina wenye maslahi na katiba iliyopo ndiyo kilicho kikwazo pekee."

Aya ya nne kwenye mada inahusika pia:

"Ni wazi kuwa kwenye hili wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ndiyo iliyo karata ya turufu."

Katiba mpya haitakaa iwe kwa kila mtu na hasa kwa aliye mnufaika wa iliyopo.
 
Hakuna siku wananchi watatoka majumbani kudai katiba hata tuchukue miaka 1,000.

Ieleweke mawazo kama yako ni yale ya wanufaika wa status quo au wale waliodhamiria kusubiri matunda kula (opportunists) bila kuwa sehemu ya mapambano.

Chadema hatupaswi kuvunjwa moyo na watu kama huyu.

Haya ni muhimu:

1. Uko wapi mkakati wa mapambano?
2. Wahanga tuna wahami vipi au ni kila mchuma janga ana kula na wakwao?
3. Uko wapi mkakati wa kuwashirikisha wote wenye kutaka katiba mpya?

Nguvu moja katiba ni hitajio la wananchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani imenibidi nicheke tu. Misri 2011,Libya,Sudan ya Albashir na kwingineko,walipoamua hakuna kilichowazuia. Sasa ukisema wananchi hawawezi kutoka nashindwa kuelewa wewe unataka wananchi wapi wadai katiba!.

Yaani unajua kabisa hawatatoka halafu unapiga domo hapa?
Kitu usichokijua ni,siku wananchi wakitaka jambo lao hakuna kitakachowazuia.
Tatizo la sasa ni kua,ninyi mnaitaka katiba kwa maslahi ya kikundi cha watu. Kingine ni timing mbovu,watu wanajiuliza,mbona kipindi cha Magu mliufyata,kwa Samia ndo mnapaona mteremko?

Je,yeye yupo tayari kukurusuni mfanye mnachokitaka?
Mmeshaonekana wadhaifu mno,yaani mlishindwa kabla ya kuanza.

Jiulize tu,kukusanyika kwa viongozi wa mashina,kata,wilaya na kanda,tena kutoka mikoa mbalimbali kwenda Mwanza ndo mnajiita wananchi mnaodai katiba mpya!?
Nonsence!!!

Nendeni kwa wananchi,siyo mahotelini ama kwenye kumbi. Mpime upepo,matokeo yake mkayatumie ama kuendeleza juhudi za kuidai katiba ama kuacha kabisa na kusubiri wakati wa Bwana ufike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aya ya kwanza kwenye mada inakuhusu:

"Ni wazi kuwa kupata katiba mpya hakuwezi kuwa kwa lelemama."

Aya ya pili kwenye mada inakuhusu pia:

"Ni wazi kuwa uwepo wa wahafidhina wenye maslahi na katiba iliyopo ndiyo kilicho kikwazo pekee."

Aya ya nne kwenye mada inahusika pia:

"Ni wazi kuwa kwenye hili wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ndiyo iliyo karata ya turufu."

Katiba mpya haitakaa iwe kwa kila mtu na hasa kwa aliye mnufaika wa iliyopo.
Ndo ujiulize,nani wapo tayari kuyajaza hayo magereza?

Hao wanufaika wako tayari kuachia tonge lao!?

Hao wananchi unaowataka waungane na kujaza hayo magereza wanaelewa nini kuhusu hiyo katiba.

Vinginevyo,kaa kimya,tafuta kazi,jenga kipato.

Kwasasa ni ngumu kuliko unavyojidanganya au mnavyojidanganya wewe na wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani imenibidi nicheke tu. Misri 2011,Libya,Sudan ya Albashir na kwingineko,walipoamua hakuna kilichowazuia. Sasa ukisema wananchi hawawezi kutoka nashindwa kuelewa wewe unataka wananchi wapi wadai katiba!.

Yaani unajua kabisa hawatatoka halafu unapiga domo hapa?
Kitu usichokijua ni,siku wananchi wakitaka jambo lao hakuna kitakachowazuia.
Tatizo la sasa ni kua,ninyi mnaitaka katiba kwa maslahi ya kikundi cha watu. Kingine ni timing mbovu,watu wanajiuliza,mbona kipindi cha Magu mliufyata,kwa Samia ndo mnapaona mteremko?

Je,yeye yupo tayari kukurusuni mfanye mnachokitaka?
Mmeshaonekana wadhaifu mno,yaani mlishindwa kabla ya kuanza.

Jiulize tu,kukusanyika kwa viongozi wa mashina,kata,wilaya na kanda,tena kutoka mikoa mbalimbali kwenda Mwanza ndo mnajiita wananchi mnaodai katiba mpya!?
Nonsence!!!

Nendeni kwa wananchi,siyo mahotelini ama kwenye kumbi. Mpime upepo,matokeo yake mkayatumie ama kuendeleza juhudi za kuidai katiba ama kuacha kabisa na kusubiri wakati wa Bwana ufike.

Sent using Jamii Forums mobile app

Katiba mpya inakuhusu nini wewe mnufaika wa iliyopo?

Kama mkidhani tutasalimu amri mjue imekula kwenu.

Katiba mpya ni sasa.
 
Kudai katiba mpya Tz ni sawa na kupambana na shetani. Tuzidishe mapambano, sala na kumuomba Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi hasa kwa wale vinganganizi wakuu na makatili.
 
Ndo ujiulize,nani wapo tayari kuyajaza hayo magereza?

Hao wanufaika wako tayari kuachia tonge lao!?

Hao wananchi unaowataka waungane na kujaza hayo magereza wanaelewa nini kuhusu hiyo katiba.

Vinginevyo,kaa kimya,tafuta kazi,jenga kipato.

Kwasasa ni ngumu kuliko unavyojidanganya au mnavyojidanganya wewe na wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe usiyekuwa tayari hata ukikaa kimya nani anakuhitaji?
 
Ni wazi kuwa kupata katiba mpya hakuwezi kuwa kwa lelemama.

Ni wazi kuwa uwepo wa wahafidhina wenye maslahi na katiba iliyopo ndiyo kilicho kikwazo pekee.

Ni wazi kuwa wenye uthubutu wa kuzisukuma mbele jitihada hizi takatifu za kuwafanya wahafidhina hawa kusikia ni Chadema.

Ni wazi kuwa kwenye hili wingi wetu na utayari wetu wa kuyajaza magereza yao ndiyo iliyo karata ya turufu.

Hata hivyo Chadema nao wanatuangusha kwenye haya:

1. Kukosekana kwa uongozi usiotetereka (muda wote) wa kuyasukuma mbele (spearhead) madai haya halali ya wananchi ya kudai katiba mpya.
2. Kukosekana kwa mkakati wa wazi usiotatizika wa kudai katiba mpya.
3. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuwahami wahanga wote ambao ni lazima watakuwapo kwenye harakati hizi.
4. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuwahusisha wote watakao kuchangia harakati hizi, usiomnufaisha mtu yeyote kama fursa.
5. Kukosekana kwa mkakati wa wazi wa kuyajaza magereza yao pomoni.

Wananchi tuko tayari.

Kule juu palihitaji wapambanaji wasiochoka wa aina za kina Mandela, Oliver Tambo, Cyril Ramaphosa, Chris Hani, Solomon Mahlangu, Steve Biko na wa namna hiyo wa enzi za ukombozi.

Hapa kwetu uongozi wa washupavu kama akina Aboubakar Mbowe, Lema, Heche, Lissu, na wa namna hiyo ambao hofu kwao mwiko na kuaminika kwao ni kama wote ni lazima uwepo muda wote.

Damu haipaswi kulala!

Huu si muda wa kuangaliana usoni na kuoneana haya. Huu ni muda wa kuangaliana usoni na kupeana makavu jwa mustakabala mwema wa mapambano haya.

Wenye hofu na wakae pembeni kiroho safi tu. Wasiokuwa na ujasiri unaotakikana watupishe.

Wavumao baharini papa, lakini na wengine wapo!

Magereza yakijaa kesho hata Mbowe anatoka kesho wala kesi hamna.
Umeongea vizuri sana, Hongera ! Lakini ni vizuri kukumbuka pia kwamba hata huko Afrika Kusini, ilichukua muda mrefu kujenga mshikamano wa mapambano. Hapa kwetu vuguvugu lililoanza miaka ya 80 na akina Mapalala, Mtikila, Maalim Seif, lilifikia hatua muhimu 1992, mfumo rasmi wa vyama vingi ulipoasisiwa. Bado hatuna muda mrefu, lakini pia tuna changamoto kubwa katika maeneo kadhaa.
1) Wenzetu walikuwa na akina Desmond Tutu wao. Sisi kada ya Dini iko kimya. Ni kama viongozi wetu wa Dini wamechagua kuwa upande wa Utawala, ili wafaidi masufuria ya nyama. Tunayo kazi ya kuwahamasisha akina Askofu Mwamakula, Askofu Bagonza, na Askofu Shoo, bila kumsahau Askofu NiweMugizi, ili wasikate tamaa. Mioyoni nwao hawaridhishwi na hali ya ukandamizaji iliyopo.

2).Cyril Ramaphosa alitokea kwenye vyama vya wafanyakazi. Hii ni kada nyingine muhimu sana. Kuna watu majasiri wenye uzoefu wa kukabiliana na waajiri wakorofi.

3) Wasomi wetu wametekwa na tamaa za vyeo, fedha na madaraka, vitu ambavyo vinamilikiwa na wahafidhina wa ccm.
Tunahitaji kuwahamasisha huko vyuoni tangu mapema.

Makamanda wetu wa CHADEMA wanafanya kazi kubwa mno na wanaandanwa mno na serikali na dola. Tunahitaji kuwatia moyo na kuwaunga mkono kwa hali na mali
 
Kwani Wana CHADEMA sio wananchi?
Ndiyo ujue hiyo katiba wanaidai CHADEMA na viongozi wao. Wananchi wapo busy wanasaka tonge.
Siku kweli wananchi wakiitaka hiyo katiba,ni asbh tu. Yaani hakutakua na mazungumzo.

Kwasasa fanyeni kazi kwanza mpate ugali. Wakati ukifika,wala haitotumika nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una mawazo mufilisi, akili yako inawaza ugali TU, wakati maisha NI zaidi ya chakula na mavazi.

Wee endelea kuwaza ugali wakati bosi wako anayekwambia katiba mpya si swala la msingi yeye anajimegea mahisa makubwa makubwa kwenye makamouni yanayoendesha migodi yetu
brazaj, ona faida ya elimu mbovu wanayopewa Hawa madogo, hata hawajui haki zao za msingi
 
Back
Top Bottom