CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

Katiba mpya haitapatikana kwa kuogopa kwenda jela, virungu au kufa.

Katiba mpya haitapatikana bila kuwa na uongozi ulio imara kweri kweri. Uongozi unahitajika kuwaunganisha watu na kuwapa msimamo, mwelekeo na maelekezo.

Uongozi una majukumu na gharama zake.

Wananchi hawawezi kutegemewa siku moja from nowhere kuamka tu kama mvua.

Tusisubiri kula matunda bali tushiriki kuyatafuta matunda. Tuuvue woga.

Itakuwa muhimu tuliodhamiria tukafahamiana na waoga wakatupisha.
Serikali ya ccm inapenda sana kutumia vitisho, na nikiri kabisa kwamba watanzania walio wengi ni waoga sana. Tunahitaji majasiri watangulie ili wasiwakatishe tamaa wengine
 
Serikali ya ccm inapenda sana kutumia vitisho, na nikiri kabisa kwamba watanzania walio wengi ni waoga sana. Tunahitaji majasiri watangulie ili wasiwakatishe tamaa wengine

Waoga mbele wapishe.

Majasiri wapo. Majasiri tupo. Muda wa ukombozi ni sasa.
 
Wananchi wa wapi hao wako tayari? Yani mtu haijui hata iyo katiba iliyopo alafu awe tayari kupigania mpya ?

Kwanini isiwepo kampeni ya kuhamasisha watu waijue kwanza katiba iliyopo kabla ya kuwahimiza kudai mpya?
Tatizo ni namna ya kuwafikishia hivyo elimu ya Katiba hao watu unaodai kuwa hawaifahamu hata hii katiba mbaya iliyopo.Wanaong'ang'ania hii Katiba iliyopo pia hawaifahamu na wanatetea au kupigania wasichokielewa.Wenzetu wanaokwamisha Katiba Mpya ndiyo waliowanyima Wananchi Elimu ya Uraia na Katiba iliyopo wazidi kuwakandamiza.Miaka zaidi ya 60 bado wanajenga matundu ya vyoo kwa hisani ya ...na michango kedekede pamoja na tozo huku tukilipishwa kodi zisizo na tija.
Hivyo kutokufahamu Katiba isiwe sababu ya kuwazuia Watanzania kudai Katiba yao waliyopendekeza kwenye Mchakato wa Katiba ya Warioba.
Kwenye kudai Haki/Katiba usisubiri wengine kulianzisha kwa niaba yako,uamuzi huo ni wa kila moja.
Tujiulize,akina Mandela,Nyerere,Kawawa,Lipumba,Mbowe,Lema,Sugu,Heche,Zitto,RIP Maalim Seif na wengine wengi walihamasishwa na nani kudai mabadiliko?Ushujaa haufundishwi darasani!
 
Umeongea ukweli mtupu.

Kudai mustakabala mpya si agenda rahisi na si kwa kila mtu.

"Ni wazi kuwa kupata katiba mpya hakuwezi kuwa kwa lelemama."

Kwenye kudai mustakabala mpya kuna kufungwa, kuteswa, virungu na hata kufa.

Kina Mandela, Zuma, Sisulu nk walifungwa vifungo virefu.

Kina Solomon Mahlangu, Steve Biko na wengine wasio na majina, waliuwawa.

Kina Oliver Thambo, Chris Hani na wengi wengine walijikuta uhamishoni.

Katiba mpya ni yetu. Chadema ni yetu. Kuna wenzetu wako jela na wengine wako uhamishoni.

Kwa umoja wetu na utayari wetu waioko magerezani watatoka na walioko nje watarudi. Kwa woga wetu wa magerezani wataozea jela na wa ughaibuni watalemaa huko.

Bado tungali na sehemu kubwa ya kufanya na hasa katika organization (uongozi):

1. Uko wapi mkakati wa mapambano?
2. Wahanga tuna wahami vipi au ni kila mchuma janga ana kula na wakwao?
3. Uko wapi mkakati wa kuwashirikisha wote wenye kutaka kuwa sehemu ya mapambano?


Haya ni mambo ya msingi yenye kuhitaji organization (uongozi).

Viti vya mbele tafadhali, waoga watupishe.
 
Upatikanaji wa Katiba Mpya utafanikiwa zaidi pale ambapo wananchi kwa umoja wao wataamua kuitafuta kwa kuwalazimisha CCM mpaka wakubali, kinyume na hapo itakuwa ngumu sana, haiwezi kupatikana kwa kuitaja kila siku kwenye vyombo vya habari.
 
Upatikanaji wa Katiba Mpya utafanikiwa zaidi pale ambapo wananchi kwa umoja wao wataamua kuitafuta kwa kuwalazimisha CCM mpaka wakubali, kinyume na hapo itakuwa ngumu sana, haiwezi kupatikana kwa kuitaja kila siku kwenye vyombo vya habari.
Upo sahihi tuamke sasa
 
Upatikanaji wa Katiba Mpya utafanikiwa zaidi pale ambapo wananchi kwa umoja wao wataamua kuitafuta kwa kuwalazimisha CCM mpaka wakubali, kinyume na hapo itakuwa ngumu sana, haiwezi kupatikana kwa kuitaja kila siku kwenye vyombo vya habari.

Kuhitajika kwa uongozi hakuepukiki. Tena uongozi thabiti.

Majibu kamili kwenye haya ni ya msingi sana:

1. Uko wapi mkakati wa mapambano?
2. Wahanga tuna wahami vipi au ni kila mchuma janga ana kula na wakwao?
3. Uko wapi mkakati wa kuwashirikisha wote wenye kuitaka katiba mpya?

Haya ni mambo ya msingi yenye kuhitaji uongozi imara wa chama kinara na ndani ya chama chenyewe.
 
Upo sahihi tuamke sasa

Bila uratibu rasmi wa haya zinabakia kuwa ni kelele tu.

Koffie Olomide alitolewa jela na umati wa waliohudhuria hotuba ya Etienne Tshisekedi wa Mulumba (si mbali na alipokuwa akishikiliwa) na bila ya maafa yoyote kutokea.

Wakitu zoom na kutuona kamili na dhamiria zetu, walioko magerezani hawataendelea kuwashikilia.
 
Bila uratibu rasmi wa haya zinabakia kuwa ni kelele tu.

Koffie Olomide alitolewa jela na umati wa waliohudhuria hotuba ya Etienne Tshisekedi wa Mulumba (si mbali na alipokuwa akishikiliwa) na bila ya maafa yoyote kutokea.

Wakitu zoom na kutuona kamili na dhamiria zetu, walioko magerezani hawataendelea kuwashikilia.
Uoga unatutafuna sn
 
Kwani Wana CHADEMA sio wananchi?

Una mawazo mufilisi, akili yako inawaza ugali TU, wakati maisha NI zaidi ya chakula na mavazi.

Wee endelea kuwaza ugali wakati bosi wako anayekwambia katiba mpya si swala la msingi yeye anajimegea mahisa makubwa makubwa kwenye makamouni yanayoendesha migodi yetu
brazaj, ona faida ya elimu mbovu wanayopewa Hawa madogo, hata hawajui haki zao za msingi
Dah!!
Ndugu yangu kama umesoma,jaribu kuonesha kama Elimu imekukomboa.
Vinginevyo utaonekana kua umeikomboa Elimu.

Siku nchi hii itapata katiba mpya,ni siku wananchi wataitaka katiba hiyo.
Kwasasa ni ngumu. Jaribu kuelewa.
Mnauliza kwani CHADEMA siyo wananchi?
Nikiri,ni wananchi. Ila kwasasa,CDM kudai katiba inaonekana kama kikundi cha watu,tena wahuni tu,kikundi kisicho na adabu kwa serikali iliyopo.

Yamefanyika majaribio kibwena ya kudai katiba mpya,au kubadilisha baadhi ya mambo ndani ya katiba,hakuna lililofanikiwa isipokua walilotaka CCM wenyewe.

Ndiyo maana nakuambia,bado mno kuipata katiba mpya.

Mmesahau UKUTA,M4C,SANGARA,na nyingine nyingi zilivyozima bila mafanikio yoyote?
Nchi hii ni ngumu mno kuwafanya watu wake waelewe unachotaka waelewe.
Pia,nchi hii imeishi kwa mifano ya majirani au yanayotokea duniani.
Kenya hapo,walipata katiba mpya,kiko wapi?
Matatizo yao yaliisha?
SA tunaambiwa wana katiba bora,matatizo yao yameisha?
Mifano hii ndiyo inawafanya Watanzania kuishia kuiamini CCM na kuichagua kila mwaka achilia mbali kelele zenu kuwa huwa mnaibiwa kura,japo ukweli huwa mnabaki nao mioyoni mwenu.

Narudia tena,toeni Elimu kwanza,Elimu ikikolea,haya mnayoyaforce yatokee leo,yatatokea kirahisi mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hahaha Chadema kwisha. Mama Samia ufahamu hili kwa mtangulizi wako waliufyata leo kuna kipi kipya wamekiona? .

Chadema ni chama au kampeni ?

 
Dah!!
Ndugu yangu kama umesoma,jaribu kuonesha kama Elimu imekukomboa.
Vinginevyo utaonekana kua umeikomboa Elimu.

Siku nchi hii itapata katiba mpya,ni siku wananchi wataitaka katiba hiyo.
Kwasasa ni ngumu. Jaribu kuelewa.
Mnauliza kwani CHADEMA siyo wananchi?
Nikiri,ni wananchi. Ila kwasasa,CDM kudai katiba inaonekana kama kikundi cha watu,tena wahuni tu,kikundi kisicho na adabu kwa serikali iliyopo.

Yamefanyika majaribio kibwena ya kudai katiba mpya,au kubadilisha baadhi ya mambo ndani ya katiba,hakuna lililofanikiwa isipokua walilotaka CCM wenyewe.

Ndiyo maana nakuambia,bado mno kuipata katiba mpya.

Mmesahau UKUTA,M4C,SANGARA,na nyingine nyingi zilivyozima bila mafanikio yoyote?
Nchi hii ni ngumu mno kuwafanya watu wake waelewe unachotaka waelewe.
Pia,nchi hii imeishi kwa mifano ya majirani au yanayotokea duniani.
Kenya hapo,walipata katiba mpya,kiko wapi?
Matatizo yao yaliisha?
SA tunaambiwa wana katiba bora,matatizo yao yameisha?
Mifano hii ndiyo inawafanya Watanzania kuishia kuiamini CCM na kuichagua kila mwaka achilia mbali kelele zenu kuwa huwa mnaibiwa kura,japo ukweli huwa mnabaki nao mioyoni mwenu.

Narudia tena,toeni Elimu kwanza,Elimu ikikolea,haya mnayoyaforce yatokee leo,yatatokea kirahisi mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Bahati mbaya ni kuwa huu uzi uliwahusu Chadema. Wewe ni mmoja wao?
 
Hahaha hahaha Chadema kwisha. Mama Samia ufahamu hili kwa mtangulizi wako waliufyata leo kuna kipi kimya wamekiona? .

Chadema ni chama au kampeni ?



Uzi huu kwa bahati nzuri unatuhusu sisi tunaotambua tunahitaji katiba mpya.

Ama hakika kama wewe haikuhusu hoja yako ni ipi basi?
 
Dah!!
Ndugu yangu kama umesoma,jaribu kuonesha kama Elimu imekukomboa.
Vinginevyo utaonekana kua umeikomboa Elimu.

Siku nchi hii itapata katiba mpya,ni siku wananchi wataitaka katiba hiyo.
Kwasasa ni ngumu. Jaribu kuelewa.
Mnauliza kwani CHADEMA siyo wananchi?
Nikiri,ni wananchi. Ila kwasasa,CDM kudai katiba inaonekana kama kikundi cha watu,tena wahuni tu,kikundi kisicho na adabu kwa serikali iliyopo.

Yamefanyika majaribio kibwena ya kudai katiba mpya,au kubadilisha baadhi ya mambo ndani ya katiba,hakuna lililofanikiwa isipokua walilotaka CCM wenyewe.

Ndiyo maana nakuambia,bado mno kuipata katiba mpya.

Mmesahau UKUTA,M4C,SANGARA,na nyingine nyingi zilivyozima bila mafanikio yoyote?
Nchi hii ni ngumu mno kuwafanya watu wake waelewe unachotaka waelewe.
Pia,nchi hii imeishi kwa mifano ya majirani au yanayotokea duniani.
Kenya hapo,walipata katiba mpya,kiko wapi?
Matatizo yao yaliisha?
SA tunaambiwa wana katiba bora,matatizo yao yameisha?
Mifano hii ndiyo inawafanya Watanzania kuishia kuiamini CCM na kuichagua kila mwaka achilia mbali kelele zenu kuwa huwa mnaibiwa kura,japo ukweli huwa mnabaki nao mioyoni mwenu.

Narudia tena,toeni Elimu kwanza,Elimu ikikolea,haya mnayoyaforce yatokee leo,yatatokea kirahisi mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Katiba mpya ni sasa:

IMG_20220329_204405_184.jpg


Habari ndiyo hiyo.

Cc: Omusolopogasi
 
Back
Top Bottom