Ukweli tuuseme mkuu.
CHADEMA na ACT wazalendo walihamasisha sana watu kupiga kura .
Sikuona CCM ikihamasisha watu kupiga kira hata sehemu moja.
Ukitaka ushahidi tulete.
Wewe una Elimu kiasi gani mkuu?Sawa, lakini mara nyingine jitahidi kuandika kwa lugha inayoeleweka kwako na kwa wenzako.
We tulia tukunyooshe.
Ulibashite mkuu?Hii kwa kizungu unaiandikaje?
Ule ulikuwa uandikishari daftari la wapiga kura serikali ya mtaa,,kumbuka kadi ya kitambulisho Cha mpiga kura ni dili hivyo wengi wamejiandisha,,kilikuwa ndio kinatumika kusajilia line kabla ya mfumo mpya wa mwaka jana wa kutumia kitambulisho Cha taifa,Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Huyo amechanganya na uchaguzi wa serikali za mitaaMimi kadi ninayo since 2015 watu kadi tunazo mkuu worry out.
Kapagawa watu tuko mpaka na NidaHuyo amechanganya na uchaguzi wa serikali za mitaa
Lissu sent to this land to guide and teach his fellow man.To be honesty CHADEMA is there for God purposes and The miracles.
In five years, CHADEMA faced a lot of challenges such most of their leaders shifted from CHADEMA to CCM without any critical reasons. As well CCM began to deployed propaganda that oppositions in Tanzania had already buried perpendicularly.
Now the game has change CHADEMA is seen as salvation Army through his Aspirant Hon Tundu Lissu who wounded in sep 7 2017/ by unknown peoples.
Which goes to say Chadema nimpango wa Mungu.
Lissu is prophet sent by God to bring salvation.
Also NEC must provide equal ground regardless of their political parties.
We must sent him back home28/10/2020 SAA 2:21
Kura yangu ndio tiketi ya kumrudisha mtu chato
Mnaweweseka hakuna kijana wa miaka 20 hadi 25 hajajiandikisha. Simu kasajiri kwa facrbook?usemacho ni kweli ndugu wao ndio hawakutaka watu wajiandikishe kwa wingi...mfano huku kwetu walikaa tu vituoni bila kutangaza chochote ili tu wananchi wasijitokeze kwa wingi kujiandikisha...!!!
Please comment in englishKwamba mtu anaweza kuweka bandiko lake hapa kwa kiingereza kibovu kama hicho inakupa picha ni mtu wa aina gani. Mijitu mingine isingeruhusiwa hata kupiga kura, maana haitofautiani na mapunguani.
Nlvoona ni kingereza nkajua n utopolo tuu, kwahy magu akishinda bc n mpango wa shetani.?
Upinzani dawa yenu ipo pale pale.
We tulia tukunyooshe.
Ushakamatika
Usitumie google translator tena
Wanaccm pia wanaopenda maisha yao,nchi yao na watoto wao wataipogia chadema,wewe pia siku ukifikiwa pia utaipigia chadema,sasa hivi upo mezani na kawaida ya mswahili akiwa mezani haangalii keshoTar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Kwani Unateseka mkuu 😁😁😁Ushakamatika
Usitumie google translator tena