Uchaguzi 2020 CHADEMA buried 2015 and reviving 2020 as the salvation Army through his Saint Tundu Lissu✅

Uchaguzi 2020 CHADEMA buried 2015 and reviving 2020 as the salvation Army through his Saint Tundu Lissu✅

Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Ule ulikuwa uandikishari daftari la wapiga kura serikali ya mtaa,,kumbuka kadi ya kitambulisho Cha mpiga kura ni dili hivyo wengi wamejiandisha,,kilikuwa ndio kinatumika kusajilia line kabla ya mfumo mpya wa mwaka jana wa kutumia kitambulisho Cha taifa,

wengi walijiandisha kutokana na umuhimu wa kitambulisho ndio maana idadi ya wapiga kura umeongezeka kutoka 18 milioni hapo 2015 na kufikia 29milioni 2020, Kuna waandikishwaji wapya 11milioni,,lolote laweza kutokea
 
tukikubali kunyang'anywa haki uchaguzi huu ndio mwisho wa upinzani imara, magu akitangazwa tena hatakuja na mbinu ya kununua wapinzani, atakuja na mbinu nyingine mbaya zaidi ya kuua upinzani.
 
To be honesty CHADEMA is there for God purposes and The miracles.

In five years, CHADEMA faced a lot of challenges such most of their leaders shifted from CHADEMA to CCM without any critical reasons. As well CCM began to deployed propaganda that oppositions in Tanzania had already buried perpendicularly.

Now the game has change CHADEMA is seen as salvation Army through his Aspirant Hon Tundu Lissu who wounded in sep 7 2017/ by unknown peoples.

Which goes to say Chadema nimpango wa Mungu.

Lissu is prophet sent by God to bring salvation.

Also NEC must provide equal ground regardless of their political parties.
Lissu sent to this land to guide and teach his fellow man.
 
usemacho ni kweli ndugu wao ndio hawakutaka watu wajiandikishe kwa wingi...mfano huku kwetu walikaa tu vituoni bila kutangaza chochote ili tu wananchi wasijitokeze kwa wingi kujiandikisha...!!!
Mnaweweseka hakuna kijana wa miaka 20 hadi 25 hajajiandikisha. Simu kasajiri kwa facrbook?
 
Kwamba mtu anaweza kuweka bandiko lake hapa kwa kiingereza kibovu kama hicho inakupa picha ni mtu wa aina gani. Mijitu mingine isingeruhusiwa hata kupiga kura, maana haitofautiani na mapunguani.
Please comment in english
 
Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.

Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Wanaccm pia wanaopenda maisha yao,nchi yao na watoto wao wataipogia chadema,wewe pia siku ukifikiwa pia utaipigia chadema,sasa hivi upo mezani na kawaida ya mswahili akiwa mezani haangalii kesho
 
Back
Top Bottom