Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Wanandugu wa bodini...
Nawasalimu kwa salamu yangu binafsi, uposondi...?? Mwaweza itikia... ndinandii..
Nimepata tashtwiti ya kuwashauri Chadema, hasa huu uongozi mpya...
Katika njia ya kuanza kuimarisha chama kiuchumi, mnaonaje mkitengeneza hata tisheti elfu 10 (10,000pcs) zenye picha ya Lissu na caption ambayo ninyi mtaona inavutia vijana, mkaziingiza mitaani na vyuoni kuuza... Hamuoni hili ni wazo jema litakaloua ndege wawili kwa jiwe moja?? Huu ndio wakati muafaka Bwana Mwenyekiti Lissu akiwa bado ni talk of the town..
Chukueni huo ushauri mnishukuru mbele ya safari kwa maombi tu!!
Dialogist
Nyamisati Ndani Ndani
Nawasalimu kwa salamu yangu binafsi, uposondi...?? Mwaweza itikia... ndinandii..
Nimepata tashtwiti ya kuwashauri Chadema, hasa huu uongozi mpya...
Katika njia ya kuanza kuimarisha chama kiuchumi, mnaonaje mkitengeneza hata tisheti elfu 10 (10,000pcs) zenye picha ya Lissu na caption ambayo ninyi mtaona inavutia vijana, mkaziingiza mitaani na vyuoni kuuza... Hamuoni hili ni wazo jema litakaloua ndege wawili kwa jiwe moja?? Huu ndio wakati muafaka Bwana Mwenyekiti Lissu akiwa bado ni talk of the town..
Chukueni huo ushauri mnishukuru mbele ya safari kwa maombi tu!!
Dialogist
Nyamisati Ndani Ndani