Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?[/QUOT
Kwenye politics labda ungesema cost analysis lakini wewe umedumbukiza na neno benefit(faida), kwa Chadema faida hakuna, maana watawaambia hao waliwapa kuwa look tumeambulia tuviti 22 tu tumepata hasara, lkn wapo wa wafanyabiashara wengi tu waloichangia CCM watalipwaje? itabidi tusiwatoze kodi, itabidi tupandishe bei bidhaa za biashara zao kama mafuta ya petroli, sukari, unga, mchele, nauli. je nani ataumia?
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
Hiyo dhuluma na umaskini mliotufikisha huoni unauliza data za CHADEMA ILI IWEJE inaonekana wewe ni mmoja wao. Ndg yangu usifikiri watu ni wajinga siku zote, huu ni wakati wa kujua ukweli. DATA: Campain Manager meli zake ziko Malasia na pembe zetu za ndovu, huyo ni msimamizi wa campain za mgombea! Upo hapo, watu tuna machungu saana. Tukianza kukupa data tutakesha, lakini hutakubali maana mmezoea kusema ni uwongo mpaka muonyeshwe makaratasi, Isue zote zinarudi bungeni kwa taarifa yako. Utasema tena. Wizi ni dhambi ya kukupeleka motoni, kama hujui. Hatutaki kizazi cha weziiii! TUMECHOKA BASI!
Cost benefi analysis inafanywa wakati unatakakufanya new intervention na sio umeshafanya. nenda shule kwanza. Na walichofanya CHADEMA walianagalia kama wakimuweka Slaa agombee urais there is high chance that 1. Atashinda 2 Ataongeza upinzani bungen and eventually serve a lot of tanzanian money ambazo zinaliwa na mafisadi through crap contract kama za madini. Sasa walivyofanya hivyo then wakaamua kuchukua hiyo intervetion. Looking to that wameongeza wabunge wengi ndio tena vichwa kama Lissu mnyoka na wengineo. So hawakufanya makosa kuopt for that intervention. Mi naona wako right. tatizo ni wewe mwenye mawazo mgando.
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?[/QUOT
Kwenye politics labda ungesema cost analysis lakini wewe umedumbukiza na neno benefit(faida), kwa Chadema faida hakuna, maana watawaambia hao waliwapa kuwa look tumeambulia tuviti 22 tu tumepata hasara, lkn wapo wa wafanyabiashara wengi tu waloichangia CCM watalipwaje? itabidi tusiwatoze kodi, itabidi tupandishe bei bidhaa za biashara zao kama mafuta ya petroli, sukari, unga, mchele, nauli. je nani ataumia?
Yaaaaaah, wana hasara kwa hiyo chama kivunjwe hakina tija kwa wanachama wake wameshindwa kufanya kinacho takiwa.
Hujajibu swali, lete data ili tuone ulipokuwa walala macho kulinda kura na ulicho kipata vina wiana ? au HASARA MMEPATA NDIO MAANA MWAFICHA? CCM wao wameisha toa kuwa wana faida, CHADEMA je ?
Trash! Idiot!
Kwanza wewe unajua maana ya Cost-Benefit analysis! au umekariri na kutafsiri kwa mtindo wa chakachua?
1. Unapoongelea dhana ya Cost-Benefit analysis inajuimuisha tangible and intangible variables.
2. Kwa mfano: idadi ya wabunge walioshinda ni tangible benefit lakini muamko ambao CHADEMA imeleta mwaka huu ni intagible benefit ambayo inaweza kuwa na value kubwa kuliko hata wabunge 50 kwasababu hiyo chachu inaweza ikawa na matokeo makubwa sana hapo baadae.
3. Nina hakika, baada ya mchakato huu kupita, Chadema wanaweza wakatoa costs za uchaguzi lakini kutoa benefits itakuwa ngumu sana na hata wakizitoa basi inatakiwa ifanyike very rigorous political-economy analysis.
4. CCM wametoa ripoti yao ya costs benefits analysis? katika hiyo ripoti yao wamejumlisha negative variable ya kuporomoka kwa umaarufu wa Chama Chao baada ya huu uchaguzi? Nafikiri CCM ndio ina costs nyingi kulinganisha na benefits (kwa mtazamo mpana wa Cost-Benefit analysis)
5. Kwa taarifa yako, nakuibia siri ya ndani...Tangu jumatatu TAR 01/11/2010, idadi ya wanachama wapya waliojiunga na Chadema inaogopesha, na hiyo ni Tangible benefit ambayo thamani yake inaweza kuwa zaidi ya wabunge 100 kwasababu hao wanachama ndio watatujengea misingi imara ya CHADEMA.
6. Kikubwa ninachotaka kukwambia, Cost-benefit analysis is beyond financial statements, na kwa sisi CHADEMA kinachotufariji ni impact ambayo uchaguzi huu imeweka kupitia nguvu ya uma. The benefits we have acrued in this election are far bigger than the recorded costs
which in a way were far smaller and negligible in comparison to our counterpart's CCM.
7. Na nyie mnaodai mlikuwa mawakala, faida ipi mnayotaka muelezwe wakati mnajua fika ni kwa namna gani chama kilitikisa kwenye uchaguzi huu, nataka niwambie safari ya mabadiliko ni ndefu na ngumu, msitegemee kubadilisha vitu overnight, tushikamane na tuendelee na mapambano, I hope 2015 mtatusaidia tena kwenye uwakala.
PEOPLE'S...................PAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
Mlicho tegemea sio mlicho kipata, urais kwa kutumia helikopter tena hamkuupata, mmebwagwa kwa 80% mpaka sasa, and then wabunge angalau one third (80) mliyokuwa mwategemea hamkuipata , mmepata 25 tu ambayo ni ndogo sana. kwa hiyo twaweza sema mmepata HASARAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Kuwa mpoleeeee km maji ya mtungini, lete data acha porojoooooooooooooooo !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sure?Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
Baada ya maelezo hayo yote , ina maana mmekubali kushindwa na mnajipanga kwa 2015 ni jambo zuri na acheni porojo sasa, chapeni kazi kwa nguvu na maarifa, na waambie na wenzako sasa ujumbe huu.