Tetesi: CHADEMA, CUF nao kuchapisha fomu moja tu ya mgombea Urais 2025

Tetesi: CHADEMA, CUF nao kuchapisha fomu moja tu ya mgombea Urais 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unadhani falsafa hii inamaanisha nini?

Mathalani,
inasemekana wafia chama wa CUF wanapambana kuhakikisha mgombea Urasi wake anakua ni Profesa pekee, na anapata nafasi hiyo bila changamoto kwa heshima ya utumishi wake uliyotukuka kwa chama kwa muda mrefu.

lengo lao ni kuepusha gharama kubwa zisizo za lazima na kuepusha usumbufu wa mchakato mrefu wenye kupoteza muda wa wagombea na wajumbe lakini pia na rasilimali za chama bila sababu ya msingi.

Na kwahivyo maridhiano ya watangaza nia ya urais chini ya wazee wa chama, ndiyo yatakayomuibua mgombea Uraisi.

lakini kubwa zaidi kwa mfano CHADEMA ni ukata mkubwa wa fedha za kuendeshea chama unao kikumba chama hicho kikongwe cha siasa nchini.
ikimbukwe kua CHADEMA kwasasa inaendeshwa kwa mkopo na ina madeni makubwa kupindukia.

Ruzuku inayopokea kutoka serikalini haitoshi kabisa, yote inaishia kulipa madeni yanayokizonga chama kwa muda mrefu sasa.

kwakweli,
mgombea Urais kupitia CHADEMA anapaswa kujipanga vizuri sana na kujiandaa vyema sana financially, otherwise anaweza asimalize kampeni ya uchaguzi 2025 akawa amekwisha filisika tayari, hali ya fedha ni mbaya mno ndani ya chama.

Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi....

Je,
kwa hali hiyo,
unadhani ni nani hasa anaweza kua na misuli ya uhakika financially na kupewa fursa hiyo adhimu, maalumu na ya kipekee sana this time around miongoni mwa wenye nia ya kugombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo chadema?

Na je,
ni ukata wa fedha ndio umesababisha Demokrasia ndani ya vyama kuwekwa rehani au ni ubabe wa watu kadhaa ndani ya vyama hivyo vya siasa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
unadhani falsafa hii inamaanisha nini?

mathalani,
inasemekana wafia chama wa cuf wanapambana kuhakikisha mgombea urasi wake anakua ni profesa pekee, na anapata nafasi hiyo bila changamoto kwa heshima ya utumishi wake uliyotukuka kwa chama kwa muda mrefu...

lengo lao ni kuepusha gharama kubwa zisizo za lazima na kuepusha usumbufu wa mchakato mrefu wenye kupoteza muda wa wagombea na wajumbe lakini pia na rasilimali za chama bila sababu ya msingi. na kwahivyo maridhiano ya watangaza nia ya urais chini ya wazee wa chama, ndiyo yatakayomuibua mgombea uraisi.

lakini kubwa zaidi kwa mfano chadema ni ukata mkubwa wa fedha za kuendeshea chama unao kikumba chama hicho kikongwe cha siasa nchini....
ikimbukwe kua chadema kwasasa inaendeshwa kwa mkopo na ina madeni makubwa kupindukia..
ruzuku inayopokea kutoka serikalini haitoshi kabisa, yote inaishia kulipa madeni yanayokizonga chama kwa muda mrefu sasa..

kwakweli,
mgombea urais kupitia chadema anapaswa kujipanga vizuri sana na kujiandaa vyema sana financially, otherwise anaweza asimalize kampeni ya uchaguzi 2025 akawa amekwisha filisika tayari, hali ya fedha ni mbaya mno ndani ya chama..
mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi....

Je,
kwa hali hiyo,
unadhani ni nani hasa anaweza kua na misuli ya uhakika financially na kupewa fursa hiyo adhimu, maalumu na ya kipekee sana this time around miongoni mwa wenye nia ya kugombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo chadema?

na je,
ni ukata wa fedha ndio umesababisha Demokrasia ndani ya vyama kuwekwa rehani au ni ubabe wa watu kadhaa ndani ya vyama hivyo vya siasa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unahalalisha haramu kwa faida ipi?Acha kujitungiatungia vijineno ili ujifurahishe.
 
Unahalalisha haramu kwa faida ipi?Acha kujitungiatungia vijineno ili ujifurahishe.
ni muhimu kuheshimu mipango ya taasisi husika, hakuna sababu wala haja ya kua na mihemko wala kulaumiana,

wao wameona mtindo huo ni muafaka kulingana na hali halisi ya utete wa ngawira ndani yao, wew unakuja hapa kumbwelambwela na makasiriko,
hiyo haina maana, wakati muafaka ukifika, itajulikana mbivu na mbichi 🐒
 
Usipende kuongea uongo. Anayechapisha fomu moja ni CCM . Wao walishatoa taarifa rasmi kupitia Katibu Mkuu Emmanuel Nchimbi.
hakuna habari ya kupenda hapa,
ni wajibu kuweka ukweli wa mipango inayoendelea ndani ya taasisi hizi za kidemokrasia nchini...

kuna ugumu gani ukawa mstahimilivu na mwenye subra kusikiliza wakati muafaka wa jambo hili kutangazwa na kutekelezwa ndani ya taasisi husika kulingana na sababu ngumu nilizo zibainisha kwenye tetesi yenyewe?

ni muhimu kufanya mazoezi ya uvumilivu kuliko kukimbilia hitimisho na hukumu ambayo haina maana yoyote kabisa 🐒
 
ni muhimu kuheshimu mipango ya taasisi husika, hakuna sababu wala haja ya kua na mihemko wala kulaumiana,

wao wameona mtindo huo ni muafaka kulingana na hali halisi ya utete wa ngawira ndani yao, wew unakuja hapa kumbwelambwela na makasiriko,
hiyo haina maana, wakati muafaka ukifika, itajulikana mbivu na mbichi 🐒
Acha fictional stories zako.
 
Katibu Mkuu wa CUF ameshachukua Fomu ya kugombea uRais wa JMT

Uachage Uwongo 😂😂😂
atajiondoa soon,

hata makamu mwenyekiti wa chadema ameshatuma maombi kugombea urasi kupitia Chadema ambayo hayajapokelewa mpaka sasa 🐒
 
Unadhani falsafa hii inamaanisha nini?

Mathalani,
inasemekana wafia chama wa CUF wanapambana kuhakikisha mgombea Urasi wake anakua ni Profesa pekee, na anapata nafasi hiyo bila changamoto kwa heshima ya utumishi wake uliyotukuka kwa chama kwa muda mrefu.

lengo lao ni kuepusha gharama kubwa zisizo za lazima na kuepusha usumbufu wa mchakato mrefu wenye kupoteza muda wa wagombea na wajumbe lakini pia na rasilimali za chama bila sababu ya msingi.

Na kwahivyo maridhiano ya watangaza nia ya urais chini ya wazee wa chama, ndiyo yatakayomuibua mgombea Uraisi.

lakini kubwa zaidi kwa mfano CHADEMA ni ukata mkubwa wa fedha za kuendeshea chama unao kikumba chama hicho kikongwe cha siasa nchini.
ikimbukwe kua CHADEMA kwasasa inaendeshwa kwa mkopo na ina madeni makubwa kupindukia.

Ruzuku inayopokea kutoka serikalini haitoshi kabisa, yote inaishia kulipa madeni yanayokizonga chama kwa muda mrefu sasa.

kwakweli,
mgombea Urais kupitia CHADEMA anapaswa kujipanga vizuri sana na kujiandaa vyema sana financially, otherwise anaweza asimalize kampeni ya uchaguzi 2025 akawa amekwisha filisika tayari, hali ya fedha ni mbaya mno ndani ya chama.

Mnyetishaji alidokeza bila kufafanua zaidi....

Je,
kwa hali hiyo,
unadhani ni nani hasa anaweza kua na misuli ya uhakika financially na kupewa fursa hiyo adhimu, maalumu na ya kipekee sana this time around miongoni mwa wenye nia ya kugombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo chadema?

Na je,
ni ukata wa fedha ndio umesababisha Demokrasia ndani ya vyama kuwekwa rehani au ni ubabe wa watu kadhaa ndani ya vyama hivyo vya siasa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
CHADEMA hatuna upuuzi kama huo
 
CHADEMA hatuna upuuzi kama huo
kushupaza shingo kwenye masuala haya kuna athari zake kubwa tu na za fedheha sana kwa wakati muafaka,

we ng"ang"ana na kukaza shingo hivyo hivyo utafurahi mbona 🐒
 
Utaweka kitu ambacho hakipo?Subiri kwanza hadi upate ukweli.
nasubiri vip sasa?
si kitakua hakina maana tena sasa...

tusubiri mpaka ajinyonge kwanza sio? wakati kuna sababu wazi kabisa zinaonekana bayana na inasemekana anakwenda kujinyonga?🐒
 
Unajitwisha vitu ambavyo vinataka kuvunja mabega yako.
mvivu ndivyo alivyo kila mzigo ni mzito sana kwake malalamiko na unyonge hauishi kwake..

but watu makini wenye bidii hawaogopi wala kuchoka kusema ukweli. Fomu ni moja tu ya urasi Chadema na cuf, muda utaongea 🐒
 
Back
Top Bottom