Tetesi: CHADEMA, CUF nao kuchapisha fomu moja tu ya mgombea Urais 2025

mvivu ndivyo alivyo kila mzigo ni mzito sana kwake malalamiko na unyonge hauishi kwake..

but watu makini wenye bidii hawaogopi wala kuchoka kusema ukweli. Fomu ni moja tu ya urasi Chadema na cuf, muda utaongea πŸ’
Jipe ushujaa uanze kujongea kwa kujiburuza.
 
Jipe ushujaa uanze kujongea kwa kujiburuza.
sina haja ya kujipa ushujaa hali ya kua mie ni mshindi, asie choka wala kukata tamaa kwenye ugumu na uzito wa safari muhimu sana ya kusema ukweli dhidi ya siasa ndani ya vyama vya siasa nchini πŸ’
 
mtu mzima umepanic, unasumbuliwa na mihemko na huna hoja dhidi ya tetesi dah 🀣
Nafikiri hata neno panic hujui maana yake. Nipanic mimi kwa kitu gani hapo, kwa hizo tungo zako uchwara. Wewe endelea kujaza mabandiko yako najua ndiyo yanakupa mkate wako wa siku.
 
sina haja ya kujipa ushujaa hali ya kua mie ni mshindi, asie choka wala kukata tamaa kwenye ugumu na uzito wa safari muhimu sana ya kusema ukweli dhidi ya siasa ndani ya vyama vya siasa nchini πŸ’
Wewe leta ufundi mbuzi wa kuandika tu wakati hamna kitu.
 
Tlaatlaah hebu nikumbushe CCM kumbe wanachapisha form ngapi?
Asking for a friend.
 
Nafikiri hata neno panic hujui maana yake. Nipanic mimi kwa kitu gani hapo, kwa hizo tungo zako uchwara. Wewe endelea kujaza mabandiko yako najua ndiyo yanakupa mkate wako wa siku.
🀣 zaidi ya hitimisho huna kabisa namna ya kuikabili tetesi hiyo muhimu dah πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…