Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa iliyofichuka kwenye hafla ya kukabidhi kadi za Premium iliyopewa jina la Jubilant, kwa wanachama wa Kanda ya Pwani, inayorindima leo hii, hapa pana mkusanyiko wa kadi za Gold , Platnum na Diamond.
Makadirio ya awali yalikuwa kukusanya Tsh mil 7 tu, lakini sasa Makusanyo yamefikia Tsh mil 14 na elfu 17.
Hii ndio nguvu ya CHADEMA DIGITAL