CHADEMA Digital yavunja rekodi Kanda ya Pwani, Kitita cha mauzo ya kadi chafikia 200% ya makadirio

CHADEMA Digital yavunja rekodi Kanda ya Pwani, Kitita cha mauzo ya kadi chafikia 200% ya makadirio

Kiambie chama chako kitu kimoja tu,level playing field yaani vyombo vyote vya ulinzi na usalama vifanye kazi zake kwa viapo walivyoapa,tume huru ya UCHAGUZI then tuitishe uchaguzi within 3weeks tuone nani ataibuka kidedea!
Chawa huyo yupo yupo tu anapuyanga,
Asikuchoshe mpuuze..!
 
Kiambie chama chako kitu kimoja tu,level playing field yaani vyombo vyote vya ulinzi na usalama vifanye kazi zake kwa viapo walivyoapa,tume huru ya UCHAGUZI then tuitishe uchaguzi within 3weeks tuone nani ataibuka kidedea!
Bila Polisi hakuna ccm
 
Huyo askofu amesahau kondoo wake anaenda kuchunga simba.
 
Back
Top Bottom