Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
SahihiSafi sana chama kitajengwa na wanachama,tuchangie chama kujiendesha!!
HakikaWakati wao wanaendelea kutekana huko wacha sisi tupige kazi.
AminaSafi sana chama kitajengwa na wanachama,tuchangie chama kujiendesha!!
AminaMungu ibariki CDM na viongozi wake
Wewe Mnyika CHADEMA ilishakufa kitamboHakika
Kaburi lake liko wapi ?Wewe Mnyika CHADEMA ilishakufa kitambo
Kiambie chama chako kitu kimoja tu,level playing field yaani vyombo vyote vya ulinzi na usalama vifanye kazi zake kwa viapo walivyoapa,tume huru ya UCHAGUZI then tuitishe uchaguzi within 3weeks tuone nani ataibuka kidedea!Wewe Mnyika CHADEMA ilishakufa kitambo
InshaaAllah ..!Mungu ibariki CDM na viongozi wake
MaCCM akili zao hazina akili..kukimbia na masanduku ya kura na kupita bila kupingwa manna yake CCM ni Chama maiti.Wewe Mnyika CHADEMA ilishakufa kitambo