CHADEMA dira yenu ya Chama ni ipi?

CHADEMA dira yenu ya Chama ni ipi?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge la Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
 
Kwamba ni wingi wako wa huruma kwamba watakwama?

Tofauti yako na mamba na machozi yake ipo kweli?
 
Wanaukumbi.

Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
Wee mzee wewe. Sera ya Chadema ni kuto-omba omba. Mbona mnampenda kuomba omba sana. Mna nini nyie watu? Mtu anatoka nje kuomba mnampokea kwa ngoma kisa amepewa ''vifedha''! Haa haa haa! Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Nchi yetu imejaa utajiri lakini watu hamjiamini?
 
Wanaukumbi.

Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
Chadema inawatesa Sana
 
Wanaukumbi.

Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
Dira ni kuipatia Tz katiba mpya na hatimae tume huru ya uchaguzi na kituo kitakacho fuata ni kukamata dora🤔
 
Wanaukumbi.

Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
Huo uhuni mliokwenda kufanya Dubai ndo mnautetea kwa mlango wa nyuma? Hili la kutafuna fedha za walipa kodi kwa tangazo la dakika 3 lisilo na faida kwa nchi hatutalikalia kimya. Endeleeni kudhani kila anayekosoa upuuzi wenu ni CHADEMA.
 
Lumumba vichwa panzi, mkiona vichwa vinajadili multipal issues mnavishangaa kwasababu nyie licha ya kukaa madarakani zaidi ya miaka hamsini lakini bado umasikini, ujinga, na maradhi vimewashinda kuviondoa kwa watanzania.
 
CDM.......!
Wazee Wa Nongwa....
Wazee Wasio kuwa na Chema Machoni Pao..!
Wazee wanaosubiri Kulaumu...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Lumumba vichwa panzi, mkiona vichwa vinajadili multipal issues mnavishangaa kwasababu nyie licha ya kukaa madarakani zaidi ya miaka hamsini lakini bado umasikini, ujinga, na maradhi vimewashinda kuviondoa kwa watanzania.
mutipal issues ndiyo mnyama gani huyo?
 
Back
Top Bottom