Wanaukumbi.
Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
Wanaukumbi.
Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.
Wee jamaa una maanisha unachokisema au unawananga CDM kimtindoWee mzee wewe. Sera ya Chadema ni kuto-omba omba. Mbona mnampenda kuomba omba sana. Mna nini nyie watu? Mtu anatoka nje kuomba mnampokea kwa ngoma kisa amepewa ''vifedha''! Haa haa haa! Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Nchi yetu imejaa utajiri lakini watu hamjiamini?
Mbona mnajichanganya? Baba yenu Mwendazake alisema ameiua Chadema sasa unaniuliza Dira gani?Wanaukumbi.
Ngorongoro, Burj Khalifa, Ukraine, Katiba, Zitto, Mwenyekiti, Jiunge Mnyororoni, Zelenskyy Kidume, kuichukua Zanzibar, Dokta Slaa, Royo Tua, Bunge La Space kila wiki, mbona kama mambo ni mengi sana mtaweza kweli kwenda nayo yote kwa pamoja pamoja na Katiba mpya huku kila mmoja kajifungia chumbani kwake anachangia bunge la Space wengine Canada wengine Tarime.