CHADEMA fanyeni haya ili Kesi ya Mwenyekiti wenu Taifa, Mbowe iwe rahisi kumalizika naye pia akapumzike

CHADEMA fanyeni haya ili Kesi ya Mwenyekiti wenu Taifa, Mbowe iwe rahisi kumalizika naye pia akapumzike

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Punguzeni Shutuma kwa Mahakama

2. Punguzeni Vitisho

3. Punguzeni Matusi

4. Punguzeni Mikakati ya Fujo

5. Punguzeni Kuhamasishana

6. Punguzeni Kukamia Kukomoa

7. Punguzeni Propaganda za hovyo

8. Punguzeni kujifanya Wajuaji mno

9. Punguzeni kuwa na Viherehere

10. Punguzeni kulalamika bila Hoja

11. Punguzeni kutaka kujifanya mna Haki kuliko wengine na Sheria za nchi

Msipoyafanyia Kazi haya niliyowaambia hapa Mtu wenu ataozea Segerea na Kesi yake kila Siku itakuwa inapigwa danadana tu kwani mmeshaanza Kuonekana ni Magaidi mliojificha katika Muamvuli wa Siasa na Demokrasia.

Msije kusema tu hamkushauriwa sawa?
 
Ila noma, jamaa anaenda kukaa chumba cha giza hadi tarehe 27! Siku moja ndani ya selo ni kama mwezi mmoja, niliwahi lala siku moja, nikajisemea sitokuja rudi humu ndani kamwe!! Yaani bora mmalizane nje ila siyo kuingia mle ndani
 
Ngoja waje wafuas wa maraika, wao wanaamini hawakosei, wala hao mwaraika wao wa ubelgij na huyu wa sentrio huwa hawakosei, na hil ndyo tatizo sugu, hawa jamaa wana mapenz ya kijinga ktk siasa, siasa inakuruhusu kumkosoa kiongoz anapokosea hata kama ni yule unayemuamn na kumfuata, anapokosea lzma akosolewe na kuonywa, lkn kwa hawa jamaa wao hawamn ktk kukosea kwa chadema zaid ya kuyamulika makosa ya CCM tu, yakwao yako mengi lkn ukiyagusia wanaishia kukutukana na kukuita mataga, sukuma gang, mara msukule wa rumumba mara mfuate yule wa chato, haya yote ni kuonesha akili zao za kipumbavu, huwezi muita mtu majina haya kisa kaenda tofaut na mawazo yako, wao hawataki kuamn ktk kukosea ila kuwakosoa wengine, huu ni ushenzi usiostahimirika, watu wengine hatuamn siasa wala si wafuas wa chama chochote, hivyo tunapokosoa wao wanaishia kutuweka ktk kundi fulan bila kujitathimin kwanza wap wanakosea, hil ndyo tatzo la siasa za Tz, hovyo kabisa
 
Umefikiri na kisha kuandika nje ya uhalisia wa mambo kisheria na kikatiba...

Anyway, hebu tu - assume unavyofikiri ndivyo hivyo....

Sasa hebu jaribu kueleza hii inaathirije mahakama na polisi kufanya kazi yao kwa mujibu wa sheria na katiba...?

Kumbuka anayeshitakiwa kwa makosa ya kubumba ni mtu binafsi aitwaye Freeman Mbowe wala siyo CHADEMA...

Na kama kuna mtu anavunja sheria in connection na kesi ya Mbowe, hatua zichukuliwe dhidi yake bila kuathiri haki za mtuhumiwa...!!
 
Sipo Dar wiki hii, last week nilikuwepo, na jamaa yangu polisi alikuwa kwenye askari walioagizwa kutupiga. Alinionya nisisogee mbele maana wameagizwa kutuacha na vilema. Nilikwenda kushuhudia ujinga wa waafrika wenye kiburi cha madaraka.
Hahaha, ila mbona leo niliona kuna watu wanaingia mahakamani bila bughudha? Shida ni pale mnapoanza kubeba mabango ya kejeli, hii Tz kaka, msijilinganishe na US, wale demokrasia yao wameanza kuipigania miaka 300 iliyopita, sisi hata 30 hatujatoboa bado.
 
Nani kakwambia Mbowe au wapinzani wanataka kupumzika?

Labda wanaotaka kupumbuzika ni wewe na mama!

Nani aliwaambia mkishika watu ndio mtapata peace of mind?Ndio kwanza linchi linakua na makelele ya kutosha

Mtajijua kuchezea mzinga wa nyuki
Mama anaupiga mwingi, nyoosha hao Sukuma Gang. Ushahidi wa Ole Sabaya umeeanza leo Arusha.
 
1. Punguzeni Shutuma kwa Mahakama

2. Punguzeni Vitisho

3. Punguzeni Matusi

4. Punguzeni Mikakati ya Fujo

5. Punguzeni Kuhamasishana

6. Punguzeni Kukamia Kukomoa

7. Punguzeni Propaganda za hovyo

8. Punguzeni kujifanya Wajuaji mno

9. Punguzeni kuwa na Viherehere

10. Punguzeni kulalamika bila Hoja

11. Punguzeni kutaka kujifanya mna Haki kuliko wengine na Sheria za nchi

Msipoyafanyia Kazi haya niliyowaambia hapa Mtu wenu ataozea Segerea na Kesi yake kila Siku itakuwa inapigwa danadana tu kwani mmeshaanza Kuonekana ni Magaidi mliojificha katika Muamvuli wa Siasa na Demokrasia.

Msije kusema hamkushauriwa sawa?
Nilipoona wamempandisha MDUDE CHADEMA siku 3 baada ya kushinda kesi ya madawa ya kulevya kule Mbeya na mitusi aliyoanza kumtukana Mama pale Barracuda Tabata na Mbowe yuko palepale wala asimchukulie hatua, ndipo nikajuwa CHADEMA haina uongozi.

Kweli Mwendazake aliiba kura mwaka 2020, ila hata asingeiba then CHADEMA ingeshinda, TUNGEPOTEA kama Taifa, hawana viongozi bali wana ACTIVISTS na Ring leaders.

CHADEMA wamekosa wataalamu wa mikakati ya siasa ambao wangwwawekea roadmap ya namna ya ku deal na Rais SSH. Nauona mwisho wao hauko mbali
 
1. Punguzeni Shutuma kwa Mahakama

2. Punguzeni Vitisho

3. Punguzeni Matusi

4. Punguzeni Mikakati ya Fujo

5. Punguzeni Kuhamasishana

6. Punguzeni Kukamia Kukomoa

7. Punguzeni Propaganda za hovyo

8. Punguzeni kujifanya Wajuaji mno

9. Punguzeni kuwa na Viherehere

10. Punguzeni kulalamika bila Hoja

11. Punguzeni kutaka kujifanya mna Haki kuliko wengine na Sheria za nchi

Msipoyafanyia Kazi haya niliyowaambia hapa Mtu wenu ataozea Segerea na Kesi yake kila Siku itakuwa inapigwa danadana tu kwani mmeshaanza Kuonekana ni Magaidi mliojificha katika Muamvuli wa Siasa na Demokrasia.

Msije kusema hamkushauriwa sawa?
Point yenye mashiko shida wote no sikio la kufa
 
Back
Top Bottom