Pre GE2025 Chadema fanyeni maandamano tarehe 24 na 25 tumuone atafanyaje

Pre GE2025 Chadema fanyeni maandamano tarehe 24 na 25 tumuone atafanyaje

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Huyu RC wa hapa dar namshangaa sana kwa ukurupukaji wake . Unatangaza kuweka vikosi 8000 vya majeshi mtaani na magari ya kijeshi hivi huyu yupo sawa kweli?

Kwani maandamano yana shida gani watu kueleza hisia zao? Huu uoga wa serikali dhidi ya vyama vya upinzani utaisha lini nchi hii.sasa nawashauri Chadema ushauri wa bure kabisa na nyie tangazeni kupeleka maandamano tarehe 25 na 26 ili tumuone huyu RC nae atafanyaje akileta mchezo wa kitoto na nyie mfanyieni utoto tuu si kaamua kuwa KJ ?
 
Tunaelekea kwny Mwaka wa uchaguzi

Heka heka hizi huwa zipo miaka yote

Sasa hivi wameacha kupigania Katiba mpya wanapigania marekebisho ya sheria ya Uchaguzi.

Serikali ikiridhia mapendekezo ya vipengele kadhaa vya Sheria ya Uchaguzi maana yake itakuwa Serikali na Chadema wamekubaliana kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu bila ya Katiba mpya ambayo Chadema walituambia bila ya Katiba mpya sio tu hawatoshiriki Uchaguzi Mkuu bali uchaguzi huo hautokuwepo kabisa

Siasa ni Sayansi, Jamaa wanarudishwa kundini kwa style yake.

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Tunaelekea kwny Mwaka wa uchaguzi

Heka heka hizi huwa zipo miaka yote

Sasa hivi wameacha kupigania Katiba mpya wanapigania marekebisho ya sheria ya Uchaguzi.

Serikali ikiridhia mapendekezo ya vipengele kadhaa vya Sheria ya Uchaguzi maana yake itakuwa Serikali na Chadema wamekubaliana kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu bila ya Katiba mpya ambayo Chadema walituambia bila ya Katiba mpya sio tu hawatoshiriki Uchaguzi Mkuu bali uchaguzi huo hautokuwepo kabisa

Siasa ni Sayansi, Jamaa wanarudishwa kundini kwa style yake.

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Vyovyote vile wana haki ya kufanya maandamano maana hamna sheria yeyote iliyovunjwa.
 
Watasema zoezi la kufanya usagi ni endelevu kwa wiki nzima... hawakuweza kumaliza ndani ya siku 2 kutokana na chamgamoto mbalimbali... hivyo wataendelea mpaka watakapomaliza hata kama ni mwezi ujao..
Akili kubwa....
 
Huyu RC wa hapa dar namshangaa sana kwa ukurupukaji wake . Unatangaza kuweka vikosi 8000 vya majeshi mtaani na magari ya kijeshi hivi huyu yupo sawa kweli?

Kwani maandamano yana shida gani watu kueleza hisia zao? Huu uoga wa serikali dhidi ya vyama vya upinzani utaisha lini nchi hii.sasa nawashauri Chadema ushauri wa bure kabisa na nyie tangazeni kupeleka maandamano tarehe 25 na 26 ili tumuone huyu RC nae atafanyaje akileta mchezo wa kitoto na nyie mfanyieni utoto tuu si kaamua kuwa KJ ?
Kwa hiyo wewe hutatoka kuandaman unatuma wenzako wewe ukiwa ndani uone watafanywa nn sio??
Pumbavu kabsaa toka wewe
 
Watasema zoezi la kufanya usagi ni endelevu kwa wiki nzima... hawakuweza kumaliza ndani ya siku 2 kutokana na chamgamoto mbalimbali... hivyo wataendelea mpaka watakapomaliza hata kama ni mwezi ujao..
Akili kubwa....
Ni kama vile wanaona jeshi linalipwa mshahara bila kufanya kazi na wangependa litany kazi!! Yaani wanajuta linatengewa bajeti wakati hakuna vita... wameona kama hawapigani, basi wafanye usafi,wazoe taka, wasafishe mitaro... nk. Ati wanaupiga mwingi! Ndo uongozi tulo nao
 
Ni kama vile wanaona jeshi linalipwa mshahara bila kufanya kazi na wangependa litany kazi!! Yaani wanajuta linatengewa bajeti wakati hakuna vita... wameona kama hawapigani, basi wafanye usafi,wazoe taka, wasafishe mitaro... nk. Ati wanaupiga mwingi! Ndo uongozi tulo nao
Kwa nini wasifanye hivyo kila mwezi miji yetu ingekuwa na usafi.
Wawalete na wafungwa wote!

CCM akili zao ni tope kabisa.
Hii nchi sio yao ni ya waTanzania.
Wasiwaone kama manyani!!
 
Ni kama vile wanaona jeshi linalipwa mshahara bila kufanya kazi na wangependa litany kazi!! Yaani wanajuta linatengewa bajeti wakati hakuna vita... wameona kama hawapigani, basi wafanye usafi,wazoe taka, wasafishe mitaro... nk. Ati wanaupiga mwingi! Ndo uongozi tulo nao
Ni Dharau na fedheha kubwa kulitumikisha Jeshi kufanya usafi wa jiji...
Usafi ni suala endelevu na la kila siku, sio majikumu ya Jeshi wala haijawa janga linalohitaji nguvu ya jeshi...
 
Naiomba serekali itoe kibali cha maandamano yao, na wapewe ulinzi, maandamano yafanyike weekend na sio siku za kazi, mfano, yaanze saa 3:00 asb, mpaka saa 6:00 mchana. Tuzipokee hoja zao za kipumbavu.
N. B, Endapo kutatokea fujo na gasia au viashiria ovu, Bunge lijalo litengue kipengele katika katiba kinachosema maandamano ni haki ya kila mtanzania
 
  • Thanks
Reactions: A43
Na wewe hakikisha na familia yako mpo safu za mbele kabisa.
 
Huyu RC wa hapa dar namshangaa sana kwa ukurupukaji wake . Unatangaza kuweka vikosi 8000 vya majeshi mtaani na magari ya kijeshi hivi huyu yupo sawa kweli?

Kwani maandamano yana shida gani watu kueleza hisia zao? Huu uoga wa serikali dhidi ya vyama vya upinzani utaisha lini nchi hii.sasa nawashauri Chadema ushauri wa bure kabisa na nyie tangazeni kupeleka maandamano tarehe 25 na 26 ili tumuone huyu RC nae atafanyaje akileta mchezo wa kitoto na nyie mfanyieni utoto tuu si kaamua kuwa KJ ?
Tutafanya usafi siku ya maandamano
 
Majeshi ya tz ,yanatumika wanavyotaka

Ova
Dunia nzima

si unaona Baba wa Demokrasia Marekani wameanza kumzuia Trump kwa njia za panya kwa baadhi ya majimbo kutangaza kura za Trump hazitoruhusiwa kuhesabiwa ?
 
Back
Top Bottom