britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca