Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
mbowe amepambana mno, kwa muda aliokaa madarakani, legacy yake inaheshimika.
kwa busara tu amalize muda wake aache new direction impokee uongozi wa chama, mbowe ameshaingia umri ambao hayuko tayari kwa kshkash yoyote, apumzke abak kwenye baraza la wazee.
msitegemee kumuona mbowe mpambanaji, muda aliokaa madarakani ni mrefu, umri nao umesogea sana,mwili na akili havimudu tena mapambano, busara zimuongoze aachie vijana chama,
katika waliobaki HECHE namuona anafaa zaidi kuliko hata Lissu.
kwa busara tu amalize muda wake aache new direction impokee uongozi wa chama, mbowe ameshaingia umri ambao hayuko tayari kwa kshkash yoyote, apumzke abak kwenye baraza la wazee.
msitegemee kumuona mbowe mpambanaji, muda aliokaa madarakani ni mrefu, umri nao umesogea sana,mwili na akili havimudu tena mapambano, busara zimuongoze aachie vijana chama,
katika waliobaki HECHE namuona anafaa zaidi kuliko hata Lissu.