britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Chadema acheni uwoga aisee,kwani hamthubutu kumtaja Lissu ambae ndiye aleibua hoja zote hizo ,mnaleta hapa ili tufanye nini?Lissu shikilia hapo hapo wakili MSOMIKuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
Popote atakaponde Lissu tuko nyuma yake kwa asilimia mia moja.Kuna kosa nalisubiria nipigie msumari wa mwisho kwenye kifo cha Chadema , huyu Mrema ana uhalali wa kumjibu Lissu
Chadema kinaenda Kufa na kikifa hakinyanyuki tena, Lissu and Co kina Heche n.k ni bora waandae escape plan mapema kama kwenda CHAUMA n.k ila sio ACT
Kwa Sasa tunaangalia mtu sio Chama
Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.Kuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
sasa hayo mambo ya rushwa yanasemwa na makamu mwenyekiti wa chama unakuja kutuuliza sisi tulete ushahidi? ujinga namba moja wa muandishi wa barua hii kinachotakiwa amuandikie barua lissu ili aende akawape ushahidi wa rushwa anamuogopa nini?wakati kishasema hadharani siyo mara mojaKuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
Kama ukiamini chadema ni chama serious cha siasa basi ulibugi big time,hiyo ni saccos ya wachagaKuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
Analutea taarifa ya umma kwa ajili gani ?wanmwogopa Lissu?Katika viongozi wa kiwango cha chini kabisa Chadema imewahi kuwapata ni huyu bwana john mrema, I own my thinking though!
Tunaposema kuwa hiki chama kimejaa vilaza muwe mnatuelewa ,leo Lissu anajibiwa kwa taarifa ya Umma?sasa hayo mambo ya rushwa yanasemwa na makamu mwenyekiti wa chama unakuja kutuuliza sisi tulete ushahidi? ujinga namba moja wa muandishi wa barua hii kinachotakiwa amuandikie barua lissu ili aende akawape ushahidi wa rushwa anamuogopa nini?wakati kishasema hadharani siyo mara moja
utapavumilia huko nyuma yake gentleman, au unajipiga kifua tu humu jukwaani?🐒Popote atakaponde Lissu tuko nyuma yake kwa asilimia mia moja.
Sio wachqgga wote mkuu,sisi wa Vunjo hatuko kwenye hii SACCOSSACCOS YA WACHAGA NYIE WANYATURU MNAHANGAIKA BURE
Mama ambaye ndio mlipaji wa chawa wote kamuita simba sasa akiunguruma kila kiumbe kinahangaika huko mafichoni! Wanatupoteza sana wananchi, kila tukijenga tumaini lazima kidudumtu kiibuke na kuharibu mbegu ya uwajibikaji inayoota! PatheticAnalutea taarifa ya umma kwa ajili gani ?wanmwogopa Lissu?
migambo wanaruka na kukanyagana dah 🐒Kuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca