Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Hawa jamaa ni wahuni na walafi hawafai hata kidogoKuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
Uliyeandika hapa ni mmoja, lakini unaandika kwa wingi wa "tupo nyuma yako"!!!??Popote atakaponde Lissu tuko nyuma yake kwa asilimia mia moja.
Sasa ni dhahili kuna Pesa chafu zinawatafuna CDM, Tundu Lissu ametoa hoja zenye mashiko. Badala ya kukaa kwenye kamati kuu na kujadili kwa kina na kisha kutoka na maazimio ya pamoja, yanaibuka MAGENGE YA VIJANA WAHUNI na kujibu kwa kejeli na mafumbo. Kwakweli Mbowe na vijana wake wanatukatisha tamaa kabisa.Kuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
Acha mambo ya ubaya ubwela,toka lini,mambo ya kutunga hayana tija.Je umewahi kukenua hayo unayosema ndani ya vikao rasmi vya chama?Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.
Mbowe amekuwa ni mtu asiyeaminika tena kwa sasa ndani ya Chama Chao hicho, watu wengi kwanza wanamchukulia kama ni Mamluki wa Chama tawala ambaye amejipachika kwenye Vyama vya upinzani kwa 'kazi maalumu ya kuvuruga vyama vya upinzani' ili kukinufaisha chama tawala.
'Engine' ya treni ikiharibika mabehewa yote ya treni nayo huyumba na kusimama!
Hii taarifa haikuhitajika kabisa. It is uncalled for and totally unwarranted. Hapa ndipo tunasema silence is gold.Kuna vyama vya kuvipa Madaraka Ila siyo CHADEMA
1. Hii ilifaa aandike katibu, kuna hoja pia kua mmesusia chama mmemwachia Mrema.
2. Siku zote mnatuadress kwa press conference kwann hili hamjalifanyia press.
3. Ufafanuzi huu umetolewa kwa mujibu wa kikao kipi cha kamati kuu?
Kwani inakinzana na maneno ya viongozi wengine.
View attachment 3152221View attachment 3152222
Timu ya watu 30 wako kazini kujibizana na lissu kwa mafumbo
Britanicca
SureKatika viongozi wa kiwango cha chini kabisa Chadema imewahi kuwapata ni huyu bwana john mrema, I own my thinking though!