CHADEMA haikupaswa kulegezewa hata kidogo, ni watu wasiojitambua watasahau sasa hivi na kurudia waliyozoea

Kite
 
Siasa za uadui hazina maana. Wote sisi ni Watanzania, hakuna mtanzania bora kushinda mwingine. Tujizuie kipandikiza chuki. Let's cherish our differences
 
Sijamaliza kusoma baada ya kuona ujielewi. Wewe nani mpaka uwapangie watu mambo yanayopaswa kuandamana na yasiyopaswa kuandamana? PUMBAVU!
 
Unaongea kama vile CCM ndio wenye hati miliki na nchi hii!Siku Moja natamani CCM itoke madarakani Ili ijifunze siasa za upinzani!
 
Irrelevant message
Nani alimua.
Ben Sanane?
Anzory Gwanda?
Nani aliwatuma kina sabaya wammiminie risasi kama kifaru bwana tundu lisu?
Nani alimuua Alphonso mawazo?
Nani alimuua Mwangosi?
Mleta mada una akili kama za MAGUFULI
 
Hao watu wasiokuwa na hatia waliuliwa na CDM au POLISIccm?Badala ya kuwashughulikia wauaji unawalaumu wahanga?Sifahamu wapinzani wa CDM huwa mnawazaje?
Siasa siyo vita,CDM haina jeshi na haijawahi kuua raia.Hivi Mh.Lissu alishambuliwa na nani?
Tunataka Katiba Mpya,nyie mnaopinga huwa mnamwakilisha nani?
 
Idugunde ni jina la kambwa koko fulani ka hapa bariadi! vp umemaliza kubweka kike!!??
 
Siku ya Wanawake Duniani ilikuwa mfano mbaya kwa Chadema. Hilo lilikuwa tukio la kitaifa (au kiulimwengu kwa jumla). Vipi Chadema waweke bendera za Chama kama vile ilikuwa shughuli ya Chama? Jee, hiyo inamaanisha wanawake wasiokuwa wanachama wa Chadema hawakupaswa kuwepo hapo? Polisi walipowaambia waondoe bendera zao waligoma katakata. Kama Polisi wangetumia nguvu tungerudi kulekule tutokapo. Huu ni uchokozi usio na mantiki. Kwa kuwa shughuli haikuwa ya kichama bali inahusisha wanawake wote kwa ujumla, haikuwa busara kuweka bendera za Chama na kuanza kuwadhihaki Polisi waliokuwa wakitekeleza kazi zao.
 
Sijamaliza kusoma baada ya kuona ujielewi. Wewe nani mpaka uwapangie watu mambo yanayopaswa kuandamana na yasiyopaswa kuandamana? PUMBAVU!
Maandamano yanakusaidia nini au unafurahia kuona watoto wa maskini wakipigwa risasi na kufa Kwa mambo ya kipumbavu.
MADUKA,MAGARI MASUPAMAKETI ,BARABARA NA WATU KUPORWA NA KUVULIWA NGUO YAKITOKEA HAPA TANZANIA KIKATIBA KAMA KULE AFRIKA KUSINI HUONI KUWA NCHI HAITATAWALIKA TENA KUTOKANA NA UMASKINI MKUBWA ULIOPO. HIVI UTAINGIA KWENYE DUKA LA MTU UPORE VITU ,UCHOME GARI LAKE MOTO HALAFU AKUANGALIE TU KAMA MWIGIZAJI . ?? HAIWEZEKANI ! HAPA TANZANIA MTU ATATOKA NA PANGA AU BUNDUKI NA KUAMUA KUFYEKA WATU KAMA MITI.

Wanasiasa ni wapumbavu na malofa wanaopenda madaraka kupitia damu za watu. Blallful ! Hakuna Tena nafasi ya wapumbavu kutuletea siasa za vichaa barabarani.
Hivi huoni kuwa kuandamana kunaleta uvunjifu wa amani kila mahali Duniani na wanaoumizwa ni maskini na wanyonge. Wewe kama sio mpumbavu na Lofa mbona hujawahi kuandamana kwenye mambo ya Msingi na hasa yanayoigusa jamii nzima zaidi ya kujificha nyuma ya pazia la jamii foram na kuhamasisha uhuru wa kipumbavu wa kuandamana.

Lisu alipigwa risasi hukuandamana.
Wabunge wakawa wanatolewa bungeni kibabe na kupigwa marungu hukuandamana.
Sukari ikapanda Bei kwenye nchi yenye viwanda zaidi ya vitano hukuandamana.
Korosho ya Watanzania wa kusini ikataifishwa kibabe hukuandamana.
Mbowe akavunjwa mguu hukuandamana.
Mbowe akazushiwa mashtaka ya uongo hukuandamana.

Wafanyakazi hawakupandishwa mishahara miaka mitano hukuandamana .

Wanafunzi walioitwa vilaza wakafukizwa Chuo kama tumbili hukuandamana.
Ubaguzi kwenye mikopo ya vyuo hukuandamana.
Ubaguzi na mfumo usio sawa wa Elimu na unaowafanya maskini kusoma kwenye mazingira magumu na kupata Elimu duni huandamani.

Bima ya Afya kupewa baadhi ya watu Tena wenye uwezo ilihali maskini wakiikosa.Huandamani.
Mikutano ya kisasa ikapigwa marufuku mpaka ya ndani hukuandamana.

Unataka ukaandamane Kwa sababu ipi na Kwa urahisi TU wa Kikatiba. Hapana lazima mazingira ya kuandamana yawe magumu ili anayetaka kuandamana awe ni mtu aliyejitoa kweli kweli sio ubababaishaji wa kutafuta umaarufu.

Kwa mambo yote yaliyotokea ni WAZI KUWA WATANZANIA HAWATAKA MAMBO YA MAANDAMANO.
NA KWENYE KATIBA MPYA HAWAYATAKI.
WATANZANIA WANGETAKA MAANDAMANO WANGEANDAMANA.
 
Bandiko lefu sijamaliza, jalibu kutofautisha maandamano ya AMANI na FUJO. Yale ya afrika ya kusini, hayakuwa maandamano. Ilikuwa ni kufanya vujo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…