CHADEMA haina legitimacy ya kuokosoa Serikali hata kama kuna mapungufu ya kukabiliana na majanga. Kama Mbowe alitafuna bil 10 za chama. Hamfai kabisa

CHADEMA haina legitimacy ya kuokosoa Serikali hata kama kuna mapungufu ya kukabiliana na majanga. Kama Mbowe alitafuna bil 10 za chama. Hamfai kabisa

We mpuuzi huna akili kaa kimya
IMG_20221108_191239.jpg
 
Kama unadhambi ya ubadhirofu wa pesa za umma ambazo kama Chadema wasingelipwa ruzuku na kuzitafuna taifa lingenunua vifaa vya uokoz...
CCM na wafuas wao yote yameshakuwa mazezetazezeta tu yan empty set na mkindelea hivi 2025 huyo mamayenu lazima mumsindikize kibanda maiti.
 
Kama unadhambi ya ubadhirofu wa pesa za umma ambazo kama Chadema wasingelipwa ruzuku na kuzitafuna taifa lingenunua vifaa vya uokozi.

Mlitafuna kama njugu pesa za umma. Nyie mna mikono gani mosafi kuilosoa serikali?

Aliyemsafi ndio akosoe.

Those with clean hands must come to Equity
Watanzania wengi ni Domo mzeee tuuu

Huna ushaidi

Unaongea tuu nawe uonekane umeongea

Wewe sio CAG ,,

Yamkini hujui CHADEMA ni chombo cha Uma kinachoendeshwa na kodi za wananchi

Hivyo ukaguzi hufanyika .

Hawajai kupata hati chafuu

Hata siku moja

Sasa nakushangaa
Nadhani IQ yako ina shida
 
Kama unadhambi ya ubadhirofu wa pesa za umma ambazo kama Chadema wasingelipwa ruzuku na kuzitafuna taifa lingenunua vifaa vya uokozi.

Mlitafuna kama njugu pesa za umma. Nyie mna mikono gani mosafi kuilosoa serikali?

Aliyemsafi ndio akosoe.

Those with clean hands must come to Equity
Yaani wewe ni mpumbavu mkubwa wa Kwanza,
 
Watanzania wengi ni Domo mzeee tuuu

Huna ushaidi

Unaongea tuu nawe uonekane umeongea

Wewe sio CAG ,,

Yamkini hujui CHADEMA ni chombo cha Uma kinachoendeshwa na kodi za wananchi

Hivyo ukaguzi hufanyika .

Hawajai kupata hati chafuu

Hata siku moja

Sasa nakushangaa
Nadhani IQ yako ina shida
Kwanza Leo mwaka mwaka tunaenda wa3 hatuna ruzuku na mbo Yako pouwa kabisa
 
Umekaa zako hujatukana kutwa nzima unamshukuru Muumba wako mara Kuna Simblisi yenye mimba changa inapost utumbo, basi unajikuta tu unatukana na kuharibu swaumu Yako. Wewe mbwa nimekutukana
 
Kama unadhambi ya ubadhirofu wa pesa za umma ambazo kama Chadema wasingelipwa ruzuku na kuzitafuna taifa lingenunua vifaa vya uokozi.

Mlitafuna kama njugu pesa za umma. Nyie mna mikono gani mosafi kuilosoa serikali?

Aliyemsafi ndio akosoe.

Those with clean hands must come to Equity
Tatizo la ujinga ni kubwa sana hapa nchini,yanapozungumziwa masuala serious wewe unaleta habari za chama!

Umeme unasumbua,maji yanasuasua lakini unataka kutuaminisha tatizo sio la serikali ni la upinzani.Itabidi upimwe afya ya akili mkuu
 
Kama unadhambi ya ubadhirofu wa pesa za umma ambazo kama Chadema wasingelipwa ruzuku na kuzitafuna taifa lingenunua vifaa vya uokozi.

Mlitafuna kama njugu pesa za umma. Nyie mna mikono gani mosafi kuilosoa serikali?

Aliyemsafi ndio akosoe.

Those with clean hands must come to Equity
CHADEMA ndio Chama Kikuu cha UPINZANI kina haki ya kuikosoa Serikali naona una Ufahamu FINYU sana
CCM na Serikali yake imefanya UZEMBE MKUBWA kwenye ZOEZI ZIMA LA UOKOAJI hawakwepi lawama
 
Kama unadhambi ya ubadhirofu wa pesa za umma ambazo kama Chadema wasingelipwa ruzuku na kuzitafuna taifa lingenunua vifaa vya uokozi.

Mlitafuna kama njugu pesa za umma. Nyie mna mikono gani mosafi kuilosoa serikali?

Aliyemsafi ndio akosoe.

Those with clean hands must come to Equity

Kwa akili hizi ndio maana tumerudi uchumi wa Chini.
 
Back
Top Bottom