Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kamoeni ili tupate hoja pizani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2 kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii.
Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kampeni ili tupate hoja pinzani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2bil kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii. Kwa vile wapinzani hawanabweredi wa matumizi ya umma wahasibu wa hazina wapewe kazi ya kuratibu matumizi na marejesho ya masurufu.
Vyama vya kuchangiwa ni vile vyenye usajiri na wagombea waa ubunge angalau 30 nchi nzima
Hawa nao ni chadema?Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.
Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.
Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.
Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.
Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.
Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.
Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.
Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.
Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.
Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.
Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.
Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala
Kwisha habari yakeHabari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.
Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.
Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.
Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.
Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.
Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.
Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.
Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.
Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.
Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.
Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.
Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala
Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.
Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.
Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.
Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.
Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.
Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.
Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.
Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.
Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.
Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.
Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.
Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu
Mwanamke mzuri haolewi kwa mahali ya msaadaHabari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.
Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.
Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.
Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.
Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.
Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.
Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.
Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.
Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.
Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.
Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.
Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala
Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kamoeni ili tupate hoja pizani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2 kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii.
Chama kinapata ruzuku..bado wabunge wanachangia..bado wabunge walipewa kiinua mgongo sasa shida zote hizi zinatoka wapi?.all in all nawapa pole
Na ukute umetoa mada na kujijibu mwenyewe hovyoo sana wewe mtoa mada
Wanapewa some cash from NEC. Hizo anazotumia Rungwe Spunda kupikia ubweche hazitoki mfukoni mwakeNaomba kuuliza, kwani vyama vya siasa huwa havipewi pesa ya kampeni na serikali?
Ruzuku+makato ya mishahara ya wabunge kwa miaka 5 iko wapi?
Chadema ni walaghaiHabari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.
Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.
Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.
Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.
Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.
Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.
Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.
Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.
Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.
Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.
Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.
Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala
Leta za saa tisa akiwa zanzivar, usilete Zile za kudandia mkutano Wa ACTPicha za saa 4 asubuhi mkutano saa9 π π π π
Licha ya kupata ruzuku ya zaidi ya bilioni tatu kila mwaka bado kimekuwa chama cha kuombaomba baadaye wakipata urais litakuwa Taifa la kuombaomba.Na katika hili la kuomba michango, cdm itafanya tathmini ni jinsi gani inapendwa na wananchi.
waweke bakuli kwa meza.
ipo video kwenye taarifa ya habari itafute YOU TUBELeta za saa tisa akiwa zanzivar, usilete Zile za kudandia mkutano Wa ACT
CCM ni mabwegeChadema ni walaghai