Uchaguzi 2020 CHADEMA haina pesa za kampeni, tuongeze nguvu za kuwachangia

Uchaguzi 2020 CHADEMA haina pesa za kampeni, tuongeze nguvu za kuwachangia

Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kamoeni ili tupate hoja pizani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2 kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii.
 
Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kamoeni ili tupate hoja pizani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2 kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii.

Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kampeni ili tupate hoja pinzani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2bil kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii. Kwa vile wapinzani hawanabweredi wa matumizi ya umma wahasibu wa hazina wapewe kazi ya kuratibu matumizi na marejesho ya masurufu.
Vyama vya kuchangiwa ni vile vyenye usajiri na wagombea waa ubunge angalau 30 nchi nzima
 
Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.

Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.

Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.

Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.

Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.

Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.

Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.

Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.

Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.

Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.

Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.

Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala

Hawa nao ni chadema?
WhatsApp Image 2020-09-09 at 14.25.18.jpeg

WhatsApp Image 2020-09-09 at 14.25.18.jpeg
 
Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.

Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.

Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.

Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.

Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.

Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.

Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.

Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.

Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.

Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.

Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.

Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala

Kwisha habari yake
 
Chama kinapata ruzuku..bado wabunge wanachangia..bado wabunge walipewa kiinua mgongo sasa shida zote hizi zinatoka wapi?.all in all nawapa pole
 
Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.

Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.

Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.

Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.

Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.

Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.

Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.

Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.

Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.

Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.

Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.

Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu
 
Mwa
Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.

Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.

Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.

Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.

Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.

Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.

Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.

Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.

Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.

Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.

Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.

Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala

Mwanamke mzuri haolewi kwa mahali ya msaada
 
Wanapata ruzuku
Hivi magufuri hawezi wapatia kila chama 2 bil ya kufanya kamoeni ili tupate hoja pizani.hizo pesa nashauri wapewe kwa kusimamiwa yaani ujenzi wa majukwaa ,hamasa na usafiri kwa vyama vyote.
Nitamuona ni Muungwana sana kwa kuwapa pesa angalau 2 kwa vyama vyote ni kama 30bil pesa kidogo sana kwa awamu hii.
 
Habari wadau wa jf, leo nipo kuwakumbusha wanachadema wenzetu juu ya muenendo wa chama kipindi hiki cha kampeni.

Mwanzo kabisa nilikuwa napinga kabisa watu kukichangia chama kwa maana hatujui hizo pesa zitatumikaje na pengine zinaweza kuishia mikononi mwa wajanja wachache kama ilivyo kwa miaka mingine.

Ila mimi ni binadamu na nina moyo wa huruma sana, siwezi kuweka msimamo kwa jambo ambalo najua linaenda au linamuumiza binadamu mwenzangu.

Naweka angalizo, wanaotakiwa kuchangiwa ni wale ambao hawakuwahi kuwa wabunge na wala sio viongozi wakubwa chamani.
Hali ya kifedha kwa chadema kwa sasa ni mbaya mno, haijawahi kutokea.

Chama kinatakiwa kufanya kampeni za kwenda mbali zaidi ili kuwafikia wananchi wengi, lakini hadi sasa imeshindikana kutokana na uhaba wa pesa unaokikumba chama chetu.

Hivi navyoongea kuna majimbo mengi sana(74) wagombea wa ubunge hawajaanza kampeni, hawa hawahusiani na wale waliokata rufaa ya kutoteuliwa.

Na tatizo la kutoanza kampeni ni uhaba wa pesa kwa maana hawama vitendea kazi kama magari na watu wa kuzunguka kuwasaidia kufanya hizo kampeni.

Ninajua watu wanataka mabadiliko, lakini pia wanahitaji kuwanua hao wanaotaka kuwaletea mabadiliko na ndio maana nzima ya kampeni inapokuja.

Hivyo ni lazima kwa mgombea wa upinzani kufanya kampeni, ila kwa hali iliyopo ninaona dalili nyingi sana za majimbo mengi ya chama chetu chadema kwenda chama tawala.

Tusije baadae kuanza kulalamika tumeibiwa kura wakati hadi sasa sehemu kubwa ya wagombea wetu hadi leo hawajaanza kampeni.
Hivyo kwa dhati ya moyo wangu, ninawaomba tuwachangie hawa watu ambao hawana kabisa rasilimali pesa.

Tuache kusema ruzuku imetumikaje kwa kwa kuwa wengi tunajua kilichotokea na pesa ilivyoliwa kijanja na baadhi ya viongozi wetu.
Chini ni picha ya mgombea wetu lissu alipokuwa zanzibar kwenye kampeni. Uchache huu wa watu pia ni sababu ya kukosekana pesa ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya matangazo ya kampeni na kufanya watu kuja wengi kwenye kampeni.

Hivyo tusaidie ili mambo yasiwe magumu zaidi ya yalivyo sasa.
Leo hii lissu alibidi awe kwenye kampeni mkoa fulani, lakini yupo kwake tegeta amelala

Chadema ni walaghai
 
Hivi hawa Chadema pesa zote za ruzuku walizokuwa wanapata zaidi ya bilioni tatu kila mwaka wamezipeleka wapi?
 
Na katika hili la kuomba michango, cdm itafanya tathmini ni jinsi gani inapendwa na wananchi.

waweke bakuli kwa meza.
Licha ya kupata ruzuku ya zaidi ya bilioni tatu kila mwaka bado kimekuwa chama cha kuombaomba baadaye wakipata urais litakuwa Taifa la kuombaomba.
 
Selikali ilipoweka masharti na kiwango cha mwisho kupokea pesa toka nje ndio chadema ilipopata pigo takatifu.

Hata zile bilion 6 zilizozuiwa na polisi toka ile tasisi inayojifanya ya kutetea watu, zilikuwa ziende chadema,
 
Back
Top Bottom