Pre GE2025 CHADEMA haina Uwezo wa kuweka Mawakala kwenye vituo vyote vya Uchaguzi kwahiyo kilio cha kuibiwa kura hakitaisha hata wasipoibiwa!

Pre GE2025 CHADEMA haina Uwezo wa kuweka Mawakala kwenye vituo vyote vya Uchaguzi kwahiyo kilio cha kuibiwa kura hakitaisha hata wasipoibiwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
 
Kasimu Majaliwa, Nape Nnauye, January Makamba, Riziwan Kikwete walipita bila kupingwa kwa vile Chadema haikuwa na wagombea? au unataka tufumue mambo ya aibu hapa? Waziri Mkuu wa Nchi gani ulisikia anateka Wagombea wengine?
Wagombea bila Wanachama wa kuwalinda hao Wagombea ni kazi bure

Fikiria hapo Morogoro Wabunge wote wa CCM walipita bila kupingwa 🐼
 
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
UWT huwa mnaandika kwa akili zenu au mnaandikiwa?
 
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
Hawa CHADEMA wamekuwa wababaishaji sana siku hizi. Kuna jambo haliko sawa ndani yao.

Haya maswala uliyo yaweka hapa ndiyo yangekuwa mstari wa mbele kuyashughulikia sasa hivi ndani ya chama, lakini ni kama hawakumbuki kabisa jukumu hilo.

Hawa wanasubiri kukaribishwa ndani ya serikali ya Bi 'Chura Kiziwi', hawana mpango tena wa kulikomboa taifa hili toka kwa mkoloni huyu CCM.

Unauliza "Nini kifanyike"?
Tayari wamechelewa hawa, hakuna la ziada wanaloweza kufanya sasa hivi, huo ndio ukweli wenyewe. Kazi wanayofanya sasa hivi, kama huyo Mwenyekiti anavyo fanya ni hizi ghelesha tu, za kupiga kelele nyingi kama zile za uwanja wa KIA, ili kuhadaa watu. Huyu siyo mpinzani tena wa CCM. Mpinzani wa kweli wa CCM ndani ya chama hicho sasa hivi ni Makamu Mwenyekiti; ambaye tayari anadhibitiwa huko huko ndani ya chama.
 
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
Kwa hiyo unaungana na bumunda Nape kuwa kweli CCM ni majizi yaliyokubuhu ya kura. Asante.
 
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
Tukiruhusu wagombea binafsi itakuwaje? Je, watakuwa na uwezo wa kuweka mawakala kila kituo? Kura zinatakiwa zisiibiwe hata kwa mgombea asiye na wakala.
 
Hawa CHADEMA wamekuwa wababaishaji sana siku hizi. Kuna jambo haliko sawa ndani yao.

Haya maswala uliyo yaweka hapa ndiyo yangekuwa mstari wa mbele kuyashughulikia sasa hivi ndani ya chama, lakini ni kama hawakumbuki kabisa jukumu hilo.

Hawa wanasubiri kukaribishwa ndani ya serikali ya Bi 'Chura Kiziwi', hawana mpango tena wa kulikomboa taifa hili toka kwa mkoloni huyu CCM.
Mkuu tunawezaje kuweka mawakala na wagombea leo kwa uchaguzi wa 2025? tupe mbinu
 
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
CCM chukueni huo ushauri wa kijinga aliowapeni Mch. Msigwa. Ndiyo maana Nape akapata ujasiri wa kusema yale!

Zidini kutembea tu na Ibilisi, lakini lazima mkumbuke kuwa, "GOD'S TIME IS THE BEST" na pia AMTEGEMEAYE MWANADAMU AMELAANIWA
 
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala

Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani

Nini kifanyike?

Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu

Ahsanteni Sana 🐼
Jo hivii mfano ukitakiwa uwe ni miongoni mwa mawakala wa vyama,utachakuwa kuwa wa chama gani?Tuongee ikiwa ni jambo la kutoka moyoni mwako.
 
Back
Top Bottom