Usiseme kwa kumwone haya Luca au Choicevariable.ACT Wazalendo Pemba π
Hili hapa siyo jambo jipya, limejadiliwa oka zamani humu humu ndani ya Jukwaa hili hili, halafu leo linafanywa kuwa kama ni jambo geni?Mkuu tunawezaje kuweka mawakala na wagombea leo kwa uchaguzi wa 2025? tupe mbinu
Kama nakumbuka vizuri mpinzani wa Nape aliwekwa lock up siku ya kurudisha fomu!Kasimu Majaliwa, Nape Nnauye, January Makamba, Riziwan Kikwete walipita bila kupingwa kwa vile Chadema haikuwa na wagombea? au unataka tufumue mambo ya aibu hapa? Waziri Mkuu wa Nchi gani ulisikia anateka Wagombea wengine?
Je, mgombea binafsi anaweza? Je, mkono wa Mungu hauwezi kukatwa? Na "wapigieni kura upande ule mwingine lakini mjue CCM ndiyo itaunda serikali"-mama Samia.Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala
Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani
Nini kifanyike?
Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu
Ahsanteni Sana πΌ
Asipoelewa hii point Basi tenaTukiruhusu wagombea binafsi itakuwaje? Je, watakuwa na uwezo wa kuweka mawakala kila kituo? Kura zinatakiwa zisiibiwe hata kwa mgombea asiye na wakala.
Mtoa mada amekosea sana. Kura hazipaswi kuibiwa hata kama baadhi ya vyama au wagombea hawana mawakala. Mimi naona hili ni jambo la aibu sana hata kulijadili. Ukisikia kuichafua nchi basi mfano mmoja ni kama huu wizi wa kura tunaoujadili. Hivi adhabu kwa mtu aliyepatikana na hatia ya wizi wa kura ni kifungo miaka mingapi?Wakala anasaidia nini kama Msimamizi wa Uchaguzi anajificha siku ya kurudisha halafu anaibuka kutangaza kuwa mgombea fulani amepita bila kupingwa?
Amandla...
Huo ndio ukweli Chadema haina Uwezo wa kusimamisha Wagombea Ubunge Majimbo yote achilia mbali kuweka Mawakala
Fikiria Majimbo kibao Wabunge wa CCM wanapita bila kupingwa maana yake kulikuwa hakuna washindani
Nini kifanyike?
Chadema ishushe Ruzuku hadi majimboni Ili kuhamasisha Wapiga kura badala ya Ruzuku yote kulipia Chopa wanayopanda Watu Wawili tu
Ahsanteni Sana πΌ
Kwahiyo wasipoweka wakala mtawanapenauye eti! Pia niulize hakuna chama kingine cha kishauri ni Chadema tu? CCM je? ACT je? Kwani Chadema wasipoweka wakala wataibiwa kura na nani? Kwani kura lazima zilindwe Nan mwizi!Hili hapa siyo jambo jipya, limejadiliwa oka zamani humu humu ndani ya Jukwaa hili hili, halafu leo linafanywa kuwa kama ni jambo geni?
Tulisema, toka mwanzo; huko 2015, na pengine kabla ya hapo kwamba kwa chama kama CHADEMA kilipofikia, ni dhambi kubwa kutoweza kuweka wagombea katika kila ngazi, tokea huko mitaani.
Tumekuwa tukibainisha kila wakati, kwamba hakuna siri; CCM inawategemea sana watu wake toka huko chini. Muundo huo wa CCM ndiyo sumu inayo maliza upinzani nchini. Tukashauri, kuiga siyo jambo mbaya. Igeni muundo huo, muwe na watu wenu huko huko, katika ngazi zote. Mtakosa vizi wasimamizi wa uhakika kama mnao watu wanao amini chama chenu tokea huko chini?
Sasa hapa tulipo, tunakumbushana tena yaliyokwisha zungumzwa na hayakutimizwa?
Mmekwisha waachia CCM mwanya wa kuendelea kuwateka waTanzania.
Inasikitisha na kuudhi kwa wakati mmoja.
Sina hakika tena kama CHADEMA bado itakuwa na uwezo wa kuitikisa CCM hapa tulipo fikia sasa hivi kabla ya chaguzi; kwanza 2024, ambao kwa kweli ndio uandalizi wa ushindi wa 2025.Nini kifanyike?
LOOooh! unakuja hapa kufundishwa somo au vipi. Maswali unayo uliza hata hayaeleweki!Kwahiyo wasipoweka wakala mtawanapenauye eti! Pia niulize hakuna chama kingine cha kishauri ni Chadema tu? CCM je? ACT je? Kwani Chadema wasipoweka wakala wataibiwa kura na nani? Kwani kura lazima zilindwe Nan mwizi!
Katika hili tunapaswa kulaumu vyama au chama wezi wa kura, na sio kulaumu vyama au wagombea wanaoibiwa kura.Sina hakika tena kama CHADEMA bado itakuwa na uwezo wa kuitikisa CCM hapa tulipo fikia sasa hivi kabla ya chaguzi; kwanza 2024, ambao kwa kweli ndio uandalizi wa ushindi wa 2025.
Sioni ni kwa njia zipi CHADEMA inaweza kujinasua kwenye kukabwa shingo ilikofanyiwa na CCM ya 'Chura Kiziwi'.
Mageuzi ya kukitikisa chama hicho kutoka katika hali hiyo siyo rahisi kuyafanikisha katika muda mfupi huu. ulio salia.
Je, tutazame huko huko ndani ya CCM? 'Chura Kiziwi' kajitahidi sana kuwabana wale waliokuwa na Magufuli. Kunawezekana kukaibuka wazalendo wa kweli wakakataa kunadishwa huku tunakofanywa na huyu 'chura?
Vyovyote na iwavyo, hata 'chura' akifanikiwa, na akaendelea na haya haya anayofanya sasa, tutegemee mtikisiko mkubwa ndani ya miaka hiyo mitano.
Hili halita epukika.
Wizi wa kura ni mchakato na unahusisha vitu vingi,inabidi kupitia indicators na variables zote kisha muone namna ya kuzuia hata hilo la uwepo wa wakala genuine kila kituo. Chadema fanyeni uchunguzi na tafiti kisha matokeo myafanyie kazi.Mkuu tunawezaje kuweka mawakala na wagombea leo kwa uchaguzi wa 2025? tupe mbinu
Mkuu ondoa shaka, nimekwishasema mara kadhaa humu kwamba ccm haitapata tena mwanya wa uchafu wa awali, hatutaki Mchengerwa mkwe wa chura kiziwi kusimamia uchaguzi (Hatutanii).Hili hapa siyo jambo jipya, limejadiliwa oka zamani humu humu ndani ya Jukwaa hili hili, halafu leo linafanywa kuwa kama ni jambo geni?
Tulisema, toka mwanzo; huko 2015, na pengine kabla ya hapo kwamba kwa chama kama CHADEMA kilipofikia, ni dhambi kubwa kutoweza kuweka wagombea katika kila ngazi, tokea huko mitaani.
Tumekuwa tukibainisha kila wakati, kwamba hakuna siri; CCM inawategemea sana watu wake toka huko chini. Muundo huo wa CCM ndiyo sumu inayo maliza upinzani nchini. Tukashauri, kuiga siyo jambo mbaya. Igeni muundo huo, muwe na watu wenu huko huko, katika ngazi zote. Mtakosa vizi wasimamizi wa uhakika kama mnao watu wanao amini chama chenu tokea huko chini?
Sasa hapa tulipo, tunakumbushana tena yaliyokwisha zungumzwa na hayakutimizwa?
Mmekwisha waachia CCM mwanya wa kuendelea kuwateka waTanzania.
Inasikitisha na kuudhi kwa wakati mmoja.
Huna akiliHata Chadema walipata Fursa ya kuiba kura wanaiba kama ilivyofanyika Kanda ya Nyasa π
Hakuna ambacho hatujafanya katika unayoleta sasa hivi tunapambana na wasimamizi wa uchaguzi tu na tutawezaWizi wa kura ni mchakato na unahusisha vitu vingi,inabidi kupitia indicators na variables zote kisha muone namna ya kuzuia hata hilo la uwepo wa wakala genuine kila kituo. Chadema fanyeni uchunguzi na tafiti kisha matokeo myafanyie kazi.
HayaHuna akili
Unachofanya ni kukazia kuwa CCM ni majizi ya kuraHaya
Kama Msimamizi wa Uchaguzi anakunywa bia 19 huyo akiwa wakala kwa mabilionea wa CCM unategemea atatoboa? π
CCM hata kwenye kura za maoni wanaibiana ndio sababu Jimbo la Kawe huwa tunahesabu mbele ya Vyombo vya habari yaani televisionUnachofanya ni kukazia kuwa CCM ni majizi ya kura
Kwa nini usiyaandike haya maneno kwa herufi kubwa!!Tukiwabana kwenye wizi ccm haitoboi,