Tangua ujio wa Chadema zaidi ya miaka thelathini iliyopita, ni haswa chini ya uongoze wa Mzee Mbowe kumekuepo na snitofahamu kati ya viongozi wanohoji na ambao ni wasomi dhidi ya viongozi ambao hawako kwenye hilo kundi.
Tumeshuhudia wasomi nguli wakiondoka chadema kwa sababu za ajabu kabisa ,mfano halisi ni wafuatao:
1: Kitila Mkumbo
2: Prof. Safari
3: Dr. Wilbroad Slaa
4: Zitto Kabwe
Na kuna kila dalili pia Msomi Tundu Lissu atatuliwa muda si mrefu.
KULIKONI?
Tumeshuhudia wasomi nguli wakiondoka chadema kwa sababu za ajabu kabisa ,mfano halisi ni wafuatao:
1: Kitila Mkumbo
2: Prof. Safari
3: Dr. Wilbroad Slaa
4: Zitto Kabwe
Na kuna kila dalili pia Msomi Tundu Lissu atatuliwa muda si mrefu.
KULIKONI?