Inavyoonekana Kuna mvurugano ndani ya Chadema. Kiini cha kuwepo kwa mvurugano huu huko Chadema kwa maoni yangu ni kutokana na namna Mwenyekiti wa Chama chao hicho Freeman Mbowe kukosa misimamo inayoeleweka kuhusiana na Siasa za nchi hii kwa sasa. Siyo siri hata kidogo, Mbowe akiwa Kama Kiongozi wa Chama Chao hicho, amekuwa ni mtu ambaye Hana msimamo unaoeleweka hali hii imesababisha mkwamo na kuyumba kwa Wanachama wa chama hicho.Tangua ujio wa chadema zaidi ya miaka thelathini iliyopita ,n haswa chini ya uongoze wa Mzee Mbowe kumekuepo na snitofahamu kati ya viongozi wanohoji na ambao ni wasomi dhidi ya viongozi ambao hawako kwenye hilo kundi.
Tumeshuhudia wasomi nguli wakiondoka chadema kwa sababu za ajabu kabisa ,mfano halisi ni wafuatao:
1:Kitila Mkumbo
2: Prof Safari
3: Dr Slaaa
4: Zitto Kabwe
Na kuna kila dalili pia Msomi Tundu Lissu atatuliwa muda si mrefu.
KULIKONI?
hiyo ni ngo ya wachagga broTangua ujio wa chadema zaidi ya miaka thelathini iliyopita ,n haswa chini ya uongoze wa Mzee Mbowe kumekuepo na snitofahamu kati ya viongozi wanohoji na ambao ni wasomi dhidi ya viongozi ambao hawako kwenye hilo kundi.
Tumeshuhudia wasomi nguli wakiondoka chadema kwa sababu za ajabu kabisa ,mfano halisi ni wafuatao:
1:Kitila Mkumbo
2: Prof Safari
3: Dr Slaaa
4: Zitto Kabwe
Na kuna kila dalili pia Msomi Tundu Lissu atatuliwa muda si mrefu.
KULIKONI?
Wale wanaosomea Political Science wanakuangaliaje?Siasa haihitaji usomi bali ushawishi tu wa kujenga hoja
hao wasomi wako wapi sasa?Wakati mbowe ana recruit wasomi kina mdee pale UDSM 2000s wewe ulikuwa kwenu kijijini unaliwa na mafunza
Wakati mbowe ana recruit wasomi kina mdee pale UDSM 2000s wewe ulikuwa kwenu kijijini unaliwa na mafunza
haswa wale wasiojitambuahiyo ni ngo ya wachagga bro
Lema,Sugu,Wenje,Mdude? Jaribu kuwa serious kidogo MangiWakati mbowe ana recruit wasomi kina mdee pale UDSM 2000s wewe ulikuwa kwenu kijijini unaliwa na mafunza
Siasa haihitaji usomi bali ushawishi tu wa kujenga hoja
Kati ya hao wasomi uliowataja, aliyeondoka CDM ni Prof. Safari tu wengine wote walinunuliwa na CCM.Tangua ujio wa chadema zaidi ya miaka thelathini iliyopita ,n haswa chini ya uongoze wa Mzee Mbowe kumekuepo na snitofahamu kati ya viongozi wanohoji na ambao ni wasomi dhidi ya viongozi ambao hawako kwenye hilo kundi.
Tumeshuhudia wasomi nguli wakiondoka chadema kwa sababu za ajabu kabisa ,mfano halisi ni wafuatao:
1:Kitila Mkumbo
2: Prof Safari
3: Dr Slaa
4: Zitto Kabwe
Na kuna kila dalili pia Msomi Tundu Lissu atatuliwa muda si mrefu.
KULIKONI?
You are completely wrong and out of point.Siasa haihitaji usomi bali ushawishi tu wa kujenga hoja
Tuwekee ushahidi hapa ili kuthibitisha kuwa hupayuki hata kidogoKati ya hao wasomi uliowataja, aliyeondoka CDM ni Prof. Safari tu wengine wote walinunuliwa na CCM.
Wa kiwango cha kutosha kabisa sio kama (Mdude,Lema,Mbowe,Sugu na Wenje)Dr Slaa na Zitto ni Wasomi?! ππ
Sio kweli mzee Sasa watatungaje Sheria bungeni wakiwa vilaza??Siasa haihitaji usomi bali ushawishi tu wa kujenga hoja
Wamesoma lakini siyo Wasomi bwasheeWa kiwango cha kutosha kabisa sio kama (Mdude,Lema,Mbowe,Sugu na Wenje)
Unaelewa Sheria zinavyotungwa?Sio kweli mzee Sasa watatungaje Sheria bungeni wakiwa vilaza??
Wewe unaelewa?Unaelewa Sheria zinavyotungwa?
NdioWewe unaelewa?