ElezeaNdio
Leo Wako wapi Sasa hao wasomi?Wakati mbowe ana recruit wasomi kina mdee pale UDSM 2000s wewe ulikuwa kwenu kijijini unaliwa na mafunza
Wamepachikwa jina la Covid 19?πββοΈβ βLeo Wako wapi Sasa hao wasomi?
Misukule ya SACCOS imeaminishwa kuwa kupiga makelele kama akina Lema ndio siasa πββοΈπββοΈπββοΈUsomi wenye tija katika siasa haukwepeki,lakini dira ya siasa inaendana na madiliko yanayoikuba nchi yetu na kwinginepo.
Nadhani hii ndio hoja ya mwandishiWamepachikwa jina la Covid 19?πββοΈβ β
Utaratibu wa nchi yetu,ili uwe Diwani au mbunge lazima ujue kusoma na kuandika tu, nadhani kama sijakosea Rais ndiye anapaswa kuwa angalau na degree (naomba kusahihishwa kama ktk eneo la Rais)Sio kweli mzee Sasa watatungaje Sheria bungeni wakiwa vilaza??
Najua ndo maana nimesema wote wakiwa vilaza kama chadema itakuaje?Utaratibu wa nchi yetu,ili uwe Diwani au mbunge lazima ujue kusoma na kuandika tu, nadhani kama sijakosea Rais ndiye anapaswa kuwa angalau na degree (naomba kusahihishwa kama ktk eneo la Rais)
Lema,Mbowe,Mdude Wenje,na SuguNajua ndo maana nimesema wote wakiwa vilaza kama chadema itakuaje?