Pre GE2025 CHADEMA, hali ngumu mnayopitia sasa ndio uhalisia itakavyokuwa kwenye uchaguzi 2025

Pre GE2025 CHADEMA, hali ngumu mnayopitia sasa ndio uhalisia itakavyokuwa kwenye uchaguzi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
2,255
Reaction score
1,565
1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.

2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.

3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.

4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
 
CHADEMA ni watanzania wenzetu ambao pia wanahitaji neno la faraja kwa wanayoyapitia. Mimi ninawasihi wasikate tamaa kwenye nyakati hizi ngumu ila nao wajishushe na kwenda kumwomba msamaha aliyekuwa hawara wa Dr Slaa kwa kumtelekeza pamoja na kwamba alikuwa mhanga wa maandamano ya Januari 5, 2011 kule Arusha.

Pia Lema awaombe msamaha Bodaboda na kina mama wa Viccoba kwa kutamka kauli chafu ya kuwa kazi yao ni ya laana. WASIPOFANYA HAYA NILIYOWAAMBIA WASIMLAUMU MTU KWA ADHABU WATAKAYOPATA KWENYE SANDUKU LA KURA.
 
Sema umeongea pumba sana 🤒🤒.. Ukiona mtu anaisifia CCM
FB_IMG_17117433995895812.jpg
 
1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.

2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.

3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.

4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Kumbe wewe ni kichaa!!!!!!!!!!!!!!! Umeandika nini sasa? List inaongezeka wa ku block
 
1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.

2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.

3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.

4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Ujinga unapewa bundle na Nini uje kuandika ujinga
 
1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.

2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.

3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.

4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Ccm hamuwezi kupata watu mpaka mhonge, vitisho , watoto wa shule , watumishi, bila muziki watu hawaji
 
1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.

2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.

3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.

4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Lissu aache unafki na kudanganywa atengeneze lile gari. Eti makumbusho, anayeweza kufanya hivyo ni serikali. Ndg zake bd ni maskini, ht kwa wazazi wake bd pa kimaskini. Aachane na siasa za kishamba, yaliyopita yamepita ashukuru Mungu yuko hai. Aliyeokoa uhai wake Mzanzibari mh. TURKY, alieenda kumwona Nairobi ni aliyekuwa makamu wa rais ambaye ni mzanzibari.

Hakuna hao anaowaita watanganyika waliodhubutu kukanyaga Nairobi. Walikuwa wapi? Sijui Dude Mnyagali, Mwabukusi na ajue Zanzibar ni Km 50 kutoka Dar, Mbeya ni zaidi ya Km 1500 kutoka Dar, wazanzibar ndio ndg zao watu wa Tanga, Wazaramo, Wadengereko, Wakwere, Wabondei siyo Wanyakyusa wala Wanyaturu. Taka×2 zilizojaa ubaguzi, eti wasomi.
 
Back
Top Bottom