Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Sasa unalilia nini 🤔🤔. Aliyekuambia uzaliwe bila akili ni nani 😬😬Kuna upumbavu kuzidi mamako kukudanganya babako? We ni mtoto haramu, bwege lisilo na faida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unalilia nini 🤔🤔. Aliyekuambia uzaliwe bila akili ni nani 😬😬Kuna upumbavu kuzidi mamako kukudanganya babako? We ni mtoto haramu, bwege lisilo na faida
Ukiona watu hawajitokezi kwenye maandamano ya Chadema haina maana kwamba wanaiunga mkono CCM la hasha. 👁1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.
2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.
3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.
4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Tangu Lissu amtoe Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Kinana mafichoni kuja kujibu hoja na akashindwa, wengine wanaokuja kuiongelea CHADEMA nawaona vikatuni.1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.
2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.
3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.
4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Kuwa mkweli , ulitaka watu wangapi wahudhurie maandamano ya CHADEMA?.bmbona watu wengi walijitokeza. Punguza uongo. Kama huna Cha kupost Kaa na mume wako umfulie nguo.1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.
2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.
3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.
4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
CHADEMA wako vizuri tu. Tatizo letu sisi ni kutegemea vyombo vya dola kama polisi kama alivyowahi kuonya JK huko nyuma.1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita inavyotekeleza miradi ya Maendeleo.
2. Mnachokivuna kwenye mikutano yenu inayoendeshwa na Lissu kwa kukosa watu hadi kufikia kutokuwa na agenda ya kudumu, jueni kuwa sasa ni Watanzania hawataki uongo. Agenda ya Muungano inawapoteza zaidi.
3. Uchaguzi unaondelea umetoa picha ya kuwa kwa sasa Chama kinaenda shimoni.
4. Kushindika kwa Michango ya kumchangia Makamu gari iwape kuona watu hawataki uongo uongo
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
lema kavuruga arusha halafu kawakimbia alijuwa wazi kabisa kwa aliyowatukana wana arusha hakuna wa kumpatia kura kaharisha kashindwa hata kufukia uharisho wake aibu lemaCHADEMA ni watanzania wenzetu ambao pia wanahitaji neno la faraja kwa wanayoyapitia. Mimi ninawasihi wasikate tamaa kwenye nyakati hizi ngumu ila nao wajishushe na kwenda kumwomba msamaha aliyekuwa hawara wa Dr Slaa kwa kumtelekeza pamoja na kwamba alikuwa mhanga wa maandamano ya Januari 5, 2011 kule Arusha. Pia Lema awaombe msamaha Bodaboda na kina mama wa Viccoba kwa kutamka kauli chafu ya kuwa kazi yao ni ya laana. WASIPOFANYA HAYA NILIYOWAAMBIA WASIMLAUMU MTU KWA ADHABU WATAKAYOPATA KWENYE SANDUKU LA KURA.
Chama kikuu cha Upinzani kwa sasa ni ACT WazalendoCcm hamuwezi kupata watu mpaka mhonge, vitisho , watoto wa shule , watumishi, bila muziki watu hawaji
Wanajificha kwenye kivuli cha katiba kufanya ubaguzi...Lakini Watanzania wamewapuuzaLissu aache unafki na kudanganywa atengeneze lile gari. Eti makumbusho, anayeweza kufanya hivyo ni serikali. Ndg zake bd ni maskini, ht kwa wazazi wake bd pa kimaskini. Aachane na siasa za kishamba, yaliyopita yamepita ashukuru Mungu yuko hai. Aliyeokoa uhai wake Mzanzibari mh. TURKY, alieenda kumwona Nairobi ni aliyekuwa makamu wa rais ambaye ni mzanzibari. Hakuna hao anaowaita watanganyika waliodhubutu kukanyaga Nairobi. Walikuwa wapi? Sijui Dude Mnyagali, Mwabukusi na ajue Zanzibar ni Km 50 kutoka Dar, Mbeya ni zaidi ya Km 1500 kutoka Dar, wazanzibar ndio ndg zao watu wa Tanga, Wazaramo, Wadengereko, Wakwere, Wabondei siyo Wanyakyusa wala Wanyaturu. Taka×2 zilizojaa ubaguzi, eti wasomi.
Sahihi kabisaN
Ni kichaa Tu anaweza kupuuza maandamano. Hii ikizoeleka ni silaha kubwa ya kijamii inayoweza kuleta adhari siku mambo yakiharibika!!