LGE2024 Chadema hamkujiandaa na uchaguzi, acheni kulalamika!

LGE2024 Chadema hamkujiandaa na uchaguzi, acheni kulalamika!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Hamduni

Senior Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
172
Reaction score
118
Tangu mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulipoanza, sijaona viongozi wa CHADEMA wakieleza mkakati wa kushiriki na kushinda uchaguzi huo. Badala yake, wamejikita kwenye malalamiko dhidi ya CCM na serikali.

Hakuna hata mchakato wa wazi uliotumika kuwapata wagombea ndani ya chama. Walikaa kusubiri wale waliokosa kuteuliwa ndani ya CCM, ndipo wakawachukua na kuwaomba wagombee kupitia CHADEMA.

Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Cha kushangaza zaidi, hata katika ngazi ya makao makuu ya CHADEMA yaliyopo Mikocheni, hawajasimamisha mgombea. Badala yake, wamejikita kwenye kuilalamikia CCM, ambayo ilifanya michakato ya ndani na kuchagua wagombea kwa kura za maoni kwa wanachama wake nchi nzima.

CHADEMA wanahitaji kurudi mezani, kuangalia wapi wanakosea kama chama, badala ya kuendelea kulaumu serikali na CCM.
 
Vioja juu ya vioja, kama hawakufanya maandalizi hao wagombea walioenguliwa wametoka chooni. Huu unafiki utatufikisha pabaya. Penye ukweli tuseme ukweli na penye uongo tuseme, watoto wa shule kuandikishwa hilo nalo CHADEMA hawakujiandaa na uchaguzi, watendaji kufunga ofisi hilo nalo CHADEMA hawajiandaa,kukataliwa kupokelewa fomu za wagombea nalo ni CHADEMA hawajajiandaa, kuenguliwa kwa wagombea nalo CHADEMA hawajajiandaa.

We have to think twice.
 
Vioja juu ya vioja, kama hawakufanya maandalizi hao wagombea walioenguliwa wametoka chooni. Huu unafiki utatufikisha pabaya. Penye ukweli tuseme ukweli na penye uongo tuseme, watoto wa shule kuandikishwa hilo nalo CHADEMA hawakujiandaa na uchaguzi, watendaji kufunga ofisi hilo nalo CHADEMA hawajiandaa,kukataliwa kupokelewa fomu za wagombea nalo ni CHADEMA hawajajiandaa, kuenguliwa kwa wagombea nalo CHADEMA hawajajiandaa.

We have to think twice.
Hawakujiabdaa huu ndio ukweli, Mpaka sasa wanapambana na Uchaguzi wa Ndani ya Chama, Lissu kathibutisha hawana Uwezo wa kusimamisha wagombea, lakini pia hebu nipe picha au video ,a Mchakato wa kupata wagombea ndani ya Chadema.

Hawa walikua kama fisi kuokoteza wagombea wanaokosa. nafasi CCM
 
Tangu mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulipoanza, sijaona viongozi wa CHADEMA wakieleza mkakati wa kushiriki na kushinda uchaguzi huo. Badala yake, wamejikita kwenye malalamiko dhidi ya CCM na serikali.

Hakuna hata mchakato wa wazi uliotumika kuwapata wagombea ndani ya chama. Walikaa kusubiri wale waliokosa kuteuliwa ndani ya CCM, ndipo wakawachukua na kuwaomba wagombee kupitia CHADEMA.

Soma pia: CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa

Cha kushangaza zaidi, hata katika ngazi ya makao makuu ya CHADEMA yaliyopo Mikocheni, hawajasimamisha mgombea. Badala yake, wamejikita kwenye kuilalamikia CCM, ambayo ilifanya michakato ya ndani na kuchagua wagombea kwa kura za maoni kwa wanachama wake nchi nzima.

CHADEMA wanahitaji kurudi mezani, kuangalia wapi wanakosea kama chama, badala ya kuendelea kulaumu serikali na CCM.
watalalama sana,
but uchaguzi uko palepale nov.27 :pulpTRAVOLTA:
 
Vioja juu ya vioja, kama hawakufanya maandalizi hao wagombea walioenguliwa wametoka chooni. Huu unafiki utatufikisha pabaya. Penye ukweli tuseme ukweli na penye uongo tuseme, watoto wa shule kuandikishwa hilo nalo CHADEMA hawakujiandaa na uchaguzi, watendaji kufunga ofisi hilo nalo CHADEMA hawajiandaa,kukataliwa kupokelewa fomu za wagombea nalo ni CHADEMA hawajajiandaa, kuenguliwa kwa wagombea nalo CHADEMA hawajajiandaa.

We have to think twice.

Ndio fact hata kama watakataa
 
Back
Top Bottom