Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wana makengezaMkuu mahudhurio mbona yalikuwa mazuri tu au wenzetu mnaangaliaje
Kesho ndio kabisaa! Watu watakuwa busy kukitafitia mkate nyie mtaishia kuhutubia mitiAmsha amsha ya Arusha nimeisalute Kesho ujumbe UNATOLEWA
Mkuu huyu siyo Lisu tuliemtarajiaMkuu mahudhurio mbona yalikuwa mazuri tu au wenzetu mnaangaliaje
Ni kweli kabisa watu hawajawa na mwamko wa siasa kwa kipindi kirefu ndio maana mahuzulio yanadoda
Hakuna lolote zaidi ya chadema kukosa mvuto, mwambieni mshana awatafutie dawa ya mvuto.Mahudhurio yalikuwa mazuri, labda kama lengo ni kupata nyomi na sio kufikisha sera. Mimi binafsi nilitaka cdm wafanye kampeni kwa kanda kwanza kwenye awamu ya kwanza, yaani Dar mkutano mmoja, kisha Arusha mkutano mmoja, Mwanza na Mbeya...
Mkuu kwani wewe umenyimwa haki gani mpaka usijiamulie mambo yako mwenyewe?Mkuu kwani sera ni nini? Na Lissu kusema akiwa rais atarudisha Uhuru na haki ya watanzania kujiamulia Mambo yao wenyewe kinatofauti gani na hizo unazoita sera? Au kwako wewe sera ni kuwaahidi wateja wa TASAF kwamba utanunua ndege 5?
Tatizo kubwa sana katika itikadi zetu za kisiasa,hata ukishauri kitu unaweza onekana na wewe ni CCM unawaonea wivu CDM.
Hakuna lolote zaidi ya chadema kukosa mvuto, mwambieni mshana awatafutie dawa ya mvuto.
Mkuu kwa sisi huku msumi,tungekuwa tunaweza kuamua Mambo yetu wenyewe zile pesa za kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato tungewasambazi maji Safi na salama wakazi wa mbezi wanaotumia maji ya chumvi na Ile pesa ya kununua dream liner tungewekeza kwenye kilimo kinachoajiri 70% ya watanzaniaMkuu kwani wewe umenyimwa haki gani mpaka usijiamulie mambo yako mwenyewe?
Hayo Ni mawazo yake au ya chama?Mkuu kwani sera ni nini? Na Lissu kusema akiwa rais atarudisha Uhuru na haki ya watanzania kujiamulia Mambo yao wenyewe kinatofauti gani na hizo unazoita sera? Au kwako wewe sera ni kuwaahidi wateja wa TASAF kwamba utanunua ndege 5?
Mwisho watasema tujitoe tuKwa nilichokiona segerea huyu jamaa yetu kachemsha, kimsingi ccm wanamtanguliza apakaze then waje nyuma kupiga deki mfute mazima,
Kaanza Dar kesho anaenda Arusha kesho kutwa Mwanza, baada ya siku kumi majiji yote kamaliza atakuwa hana kipya tena.
Leo chadema media wameondoa livestream utube hii Ni picha kuwa Hali haikuwa nzuri uwanjani
Kupanga ni kuchagua,lazima tuwe na ndege na viwanja muhimuMkuu kwa sisi huku msumi,tungekuwa tunaweza kuamua Mambo yetu wenyewe zile pesa za kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato tungewasambazi maji Safi na salama wakazi wa mbezi wanaotumia maji ya chumvi na Ile pesa ya kununua dream liner tungewekeza kwenye kilimo kinachoajiri 70% ya watanzania
Lissu uliyemtarajia ulitaka akusanye watu wangapi mkuu?Sasa subiri siku Magu akija Dar uone wafanyakazi wetu wa umma na wanafunzi wetu watakavyolazimishwa kwenda mkutanoni huku malori yakibeba watu toka maneromangu,kusarawe,mkuranga ,kibiti na kadhslika.Kumbuka Magu kapiga kampeni kwa miaka mitano lakini bado malori yanahusikaMkuu huyu siyo Lisu tuliemtarajia
Mkuu mlihamasishana msiende kujiandikisha!Uko sahihi, je kwenye kujiandikisha kupiga kura nayo ni cdm tu?
Ndege na uwanja vitaingiza hela ambazo zitaenda kufanya uwekezaji kwenye hayo maeneo.Mkuu kwa sisi huku msumi,tungekuwa tunaweza kuamua Mambo yetu wenyewe zile pesa za kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato tungewasambazi maji Safi na salama wakazi wa mbezi wanaotumia maji ya chumvi na Ile pesa ya kununua dream liner tungewekeza kwenye kilimo kinachoajiri 70% ya watanzania
Mkuu ina maana hata mwenyekiti wako huwa humsikilizi? Magu yupo kwenye Vita kwa miaka mitano Sasa au wewe mwenzetu haupo nchini?Hayo Ni mawazo yake au ya chama?
Lissu kasema siku 100 za kwanza atapeta tune ya usuluhishi,kwani tulikua kwenye vuta ya wenyewe kwa wenyewe?hicho ndicho wanachotaka watanzania?
Mmeanza kutekenyana Sasa...mnaanza kujistukia wenyewe haya endeleeni...kusikiliza na hadithi za risasi zilizo mwilini na vyuma..mtakapokumbuka shuka kutakuwa kumekucha...hahaha. anyway hata hivyo Hanna Sera za kuwaambia wananchi..zooote Magufuli amek0mbaNatoa ushauri kwa kuwa siipendi ccm na Mimi Sina chama ila napenda haki kwani haki huinua taifa.
Chadema kufanya uzinduzi sehemu tatu kwa siku tatu sehemu moja inachosha.
Watu waliokuepo Leo segerea si Jambo POA kwa mgombea uraisi.
Nadhani mlipaswa mfanye mobilisation mfanye uzinduzi ambao ni great once. First impression matters. Nilishawahi fanya interview naelewa
Nashauri wasije rudia hii kitu mikoa mingine kufanya kampeni sehemu ambazo zipo jirani kwa siku 2 au 3 haitakua poa.
Ni ushauri cause nyie ndio alternative ya CCM
Sasa kama anafanya hivyo ili kuwamaliza chadema kisaikolojia huoni kama mnapigwa bao?Lissu uliyemtarajia ulitaka akusanye watu wangapi mkuu?Sasa subiri siku Magu akija Dar uone wafanyakazi wetu wa umma na wanafunzi wetu watakavyolazimishwa kwenda mkutanoni huku malori yakibeba watu toka maneromangu,kusarawe,mkuranga ,kibiti na kadhslika.Kumbuka Magu kapiga kampeni kwa miaka mitano lakini bado malori yanahusika