Kapanga Magufuli,ndo maana Atcl haiwi audited,pesa zote zinazopangiwa matumizi na watanzania huwa audited na CAGKupanga ni kuchagua,lazima tuwe na ndege na viwanja muhimu
Kwahiyo Lisu kasema atatusiruhisha na nani?Mkuu ina maana hata mwenyekiti wako huwa humsikilizi? Magu yupo kwenye Vita kwa miaka mitano Sasa au wewe mwenzetu haupo nchini?
Aisee !,umeona mahudhurio yalivyopwaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu pole sana,Kama unadhani Tanzania ndo imeanza kuwa na ndege 2016 naomba nikupe pole sana,Ndege na uwanja vitaingiza hela ambazo zitaenda kufanya uwekezaji kwenye hayo maeneo.
Duh... Hilo ni tone tu kwenye zile bahari za enzi za Slaa na Lowasa
Mkuu watu wenye akili tumeshatoka huko,kwa kifupi tu ni kuwa Magu ni kibaya kinachojitembezaSasa kama anafanya hivyo ili kuwamaliza chadema kisaikolojia huoni kama mnapigwa bao?
Ushawahi kufanya kazi idara yoyote ya uhasibu?Kapanga Magufuli,ndo maana Atcl haiwi audited,pesa zote zinazopangiwa matumizi na watanzania huwa audited na CAG
Hadi Sasa nafanya kazi hiyoUshawahi kufanya kazi idara yoyote ya uhasibu?
Sijaelewa sorryKwahiyo Lisu kasema atatusiruhisha na nani?
Je walitangazwa washindi kwa kuja watu?Duh... Hilo ni tone tu kwenye zile bahari za enzi za Slaa na Lowasa
Kwa Hilo limetokea kwa sababu kadhaa,miongoni ikiwa leo ilikuwa no siku ya umaa pale taifa hivyo tuligawana majukumu tuu,Ila mioyo yetu no yeye2020Natoa ushauri kwa kuwa siipendi ccm na Mimi Sina chama ila napenda haki kwani haki huinua taifa.
Chadema kufanya uzinduzi sehemu tatu kwa siku tatu sehemu moja inachosha.
Watu waliokuepo Leo segerea si Jambo POA kwa mgombea uraisi.
Nadhani mlipaswa mfanye mobilisation mfanye uzinduzi ambao ni great once. First impression matters. Nilishawahi fanya interview naelewa
Nashauri wasije rudia hii kitu mikoa mingine kufanya kampeni sehemu ambazo zipo jirani kwa siku 2 au 3 haitakua poa.
Ni ushauri cause nyie ndio alternative ya CCM
Chopa wataitungua CCM acha kabsa CCM ujue wana nia ya kuwahujumu chadema cyprian Musiba kila siku anapeleka njia mbalimbali za kumshambulia Tundu lisu tena, chadema mkimuona cyprian Musiba na Le mutuz huko mitaani mzomeeni kwa nguvu kubwa mpeni makavu live anataka kufanya walichomfanyia filipu njombeMkuu tunaendelea kuchanga huku ikibidi CHOPA ishambulie angani hawa watu TAYARI upepo
Kwa nilichokiona segerea huyu jamaa yetu kachemsha, kimsingi ccm wanamtanguliza apakaze then waje nyuma kupiga deki mfute mazima,
Kaanza Dar kesho anaenda Arusha kesho kutwa Mwanza, baada ya siku kumi majiji yote kamaliza atakuwa hana kipya tena.
Leo chadema media wameondoa livestream utube hii Ni picha kuwa Hali haikuwa nzuri uwanjani
Jibu sahihi kabisaNdege na uwanja vitaingiza hela ambazo zitaenda kufanya uwekezaji kwenye hayo maeneo.
Umeongea kitu sahihi,ari ya wananchi imeshuka sana.Nilikuwepo uwanja wa liwiti Tabata, mahudhurio ya watu hayakuwa mabaya sana ingawa pia hayakuwa makubwa sana.Pia vyama vya upinzani kutokupata coverage ya kutosha hasa kwenye TV station pia ni chanzo maana kuna watu hawapati taarifa za uwepo wa hiyo mikutano kwa wakati muafaka.Mahudhurio yalikuwa mazuri, labda kama lengo ni kupata nyomi na sio kufikisha sera. Mimi binafsi nilitaka cdm wafanye kampeni kwa kanda kwanza kwenye awamu ya kwanza, yaani Dar mkutano mmoja, kisha Arusha mkutano mmoja, Mwanza na Mbeya. Halafu waendelee wabunge kwenye maeneo yao. Kisha mgombea wa Cdm awe na mdahalo kwenye TV wangalau mara moja kila wiki kwa wiki 2. Kisha atoke awamu ya pili kwenda kanda ya magharibi, kanda ya kati na kanda ya kusini. Arudi tena awe na midahalo miwili kwenye TV. Halafu apite zile sehemu zenye washabiki wake wengi ambazo atakuwa hajapita.
Nilichogundua kwenye kampeni za kipindi hiki, ari ya watu kisiasa imeshuka sana kwa wananchi. Hii ndio sababu ccm inatumia zaidi wasanii kwani imejua bila hivyo vivutio, idadi ya wahudhuriaji inakuwa ndogo sana. Na ushukaji huu wa ari ya wananchi kwenye siasa, itasababisha uchaguzi huu kuwa na wapiga kura wachache sana. Rejea idadi ndogo sana ya wapiga Kura. Na yote haya yamesababishwa na rais aliye madarakani kutokutaka siasa kufanyika nchini, lakini aliyetaka chama chake pekee ndio kifanye siasa huku kikiwa hakina mvuto.
Mkuu mlihamasishana msiende kujiandikisha!
.
Hilo lilikuwa goli la kwanza kufungwa.
Wapiga kura tutakuwa wengi Sana kwa kuwa tuna Jambo letu.kuwatondoa Tena kwa aibu wasioteda haki ,nakutudanganya no watetezi was wanyonge.Ukitaka kujua Magufuli kaharibu mwenendo wa siasa nchi hii, angalia kwa sasa mijadala sio sera tena, bali ni idadi ya watu kwenye mikutano. Juzi ccm wamefanya uzinduzi wa kampeni yao, lakini 80% ya waliohudhuria hawakujali sera, bali walikuwa wanajadili idadi ya watu na matukio ya uwanjani. Mfano tukio la Makonda kuzuiwa kukaa jukwaa kuu linafahamika kuliko hata alichoonge mwenyekiti wa ccm.
Kinachonitisha zaidi nenda kwenye vyombo vya habari kama redio na TV, hakuna mijadala ya uchaguzi kama ilivyokuwa hapo kabla ya Magufuli kuwa rais. Hakuna popote watu wanajadili mafanikio na mapungufu ya hii miaka mitano, na yapi matarajio siku zijazo. Ahadi zinatolewa lakini hazina ufafanuzi wowote,wala hakuna mjadala wowote wa maana kujadili ahadi za wagombea, bali kila mgombea anasema anachotaka kisha watu wanahamia kwenye idadi ya watu.
Haya mambo huwa yanaanza kiutani utani, ila tukishitukia tutajikuta tuna taifa la watu wasioweza kuhoji, bali viongozi tena wanaopita bila kupingwa wanakuja kutekeleza watakacho. Tutakapoanza kuwa ni viongozi wasiohojiwa, wala kuchaguliwa, tutarudi kule kule kwenye enzi za wahujumu uchumi. Na kwa mwenendo huu tutarajie idadi ndogo sana ya wapiga kura, kama unajaza watu kwenye mikutano kwa, ajili ya wasanii, siku ya kura hakuna wasanii, wapiga kura watatoka wapi?
Vyombo vya habari vimezuiwa na CCM kuwaonyesha chademaUmeongea kitu sahihi,ari ya wananchi imeshuka sana.Nilikuwepo uwanja wa liwiti Tabata, mahudhurio ya watu hayakuwa mabaya sana ingawa pia hayakuwa makubwa sana.Pia vyama vya upinzani kutokupata coverage ya kutosha hasa kwenye TV station pia ni chanzo maana kuna watu hawapati taarifa za uwepo wa hiyo mikutano kwa wakati muafaka.
Wao wanataka tunakusanya kuliko awamu zote, tumejenga viwanda nchi nzima kuliko awamu zote, flaiova kira mahari, maji asirimia sabini vijiji vyote nchi nzima na asrimia tisini mijini. Sasa kirichobaki ni ndege tano ilikusudi tuzipite nchi zote Africa. Hizo ndo wanajua ni sera.Mkuu kwani sera ni nini? Na Lissu kusema akiwa rais atarudisha Uhuru na haki ya watanzania kujiamulia Mambo yao wenyewe kinatofauti gani na hizo unazoita sera? Au kwako wewe sera ni kuwaahidi wateja wa TASAF kwamba utanunua ndege 5?