assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Natoa ushauri kwa kuwa siipendi CCM na Mimi Sina chama ila napenda haki kwani haki huinua taifa.
CHADEMA kufanya uzinduzi sehemu tatu kwa siku tatu sehemu moja inachosha.
Watu waliokuepo leo Segerea si Jambo POA kwa mgombea uraisi.
Nadhani mlipaswa mfanye mobilisation mfanye uzinduzi ambao ni great once. First impression matters. Nilishawahi fanya interview naelewa
Nashauri wasije rudia hii kitu mikoa mingine kufanya kampeni sehemu ambazo zipo jirani kwa siku 2 au 3 haitakua poa.
Ni ushauri cause nyie ndio alternative ya CCM
CHADEMA kufanya uzinduzi sehemu tatu kwa siku tatu sehemu moja inachosha.
Watu waliokuepo leo Segerea si Jambo POA kwa mgombea uraisi.
Nadhani mlipaswa mfanye mobilisation mfanye uzinduzi ambao ni great once. First impression matters. Nilishawahi fanya interview naelewa
Nashauri wasije rudia hii kitu mikoa mingine kufanya kampeni sehemu ambazo zipo jirani kwa siku 2 au 3 haitakua poa.
Ni ushauri cause nyie ndio alternative ya CCM